Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #41
Ngumu mno kulimaliza isipokuwa wahusika wenyewe watangulize maslahi ya Taifa mbeleKiukweli kumnyima mtu mwenye sifa nzuri nafasi kwa sababu za kikabila ni ushamba, japo jambo kama hili sio rahisi kulimaliza, hata ukisema tuache tumia majina ya koo kuna lafudhi pia 🤔
Kula kwa urefu wa kamba kupo mbele mpaka kamba zimekatika sasa ni kula kwa kumaliza😅Ngumu mno kulimaliza isipokuwa wahusika wenyewe watangulize maslahi ya Taifa mbele
Sambamba na hilo kuna magroup ya kikabila pia wanayo wasapu yaani mfano mimi msukuma nikienda lindi nitaunganishwa kwenye group la wasukuma wa lindi yaani ukikutana na msukuma wa kule atakuambia lakini pia tuna group letu mwenzetu akipatwa na tatizo tuna saidiana nitamwambia kiongozi akuunganishe!!(huu ni mfano tu) Unaona jinsi ukabila unavyopaliliwa sasa hapa nchini!!Binafsi nimeona kitu wakati najenga.
Ukipata fundi kabila fulani basi atakuwa akikushawishi vifaa mkanunue duka la mtu wa kabila lake kwa hoja ya bei nzuri au ubora wa bidhaa ila ukifuatilia hutoona utofauti wa bei/ubora na maduka mengine.
Ukienda Hardware moja ukakosa bidhaa husika hasa kama ni mzigo mkubwa eg tiles basi,muuzaji atakuunganisha na duka la mtu wa kabila lake hata kama duka jirani yake linauza bidhaa hiyohiyo.
Hizi jumuiya/vikundi vya watu wa kabila fulani wanaoishi mkoa/mji fulani vimefanya watu wa kabila moja watambuane na mambo ndiyo hayo.
Huko mbeleni kenya itakuja kuwa nyuma yetu kwa habari za kikabila sema hapa Tz hatuwezi kupigana waziwazi tuKula kwa urefu wa kamba kupo mbele mpaka kamba zimekatika sasa ni kula kwa kumaliza😅
No ,huko mbeleni ukabila utakufa kwa sababu sasa hivi makabila mengi yanaoana .Huko mbeleni kenya itakuja kuwa nyuma yetu kwa habari za kikabila sema hapa Tz hatuwezi kupigana waziwazi tu
soma kwa ufahamu mkuu!Mkuu hakika sijakupata vizuri
Huu wimbo wa Tanzania hakuna ukabila unaimbwa nje tu ila ndani hapakaliki hata mimi dogo kaajiriwa hivi karibuniMdogo wangu yuko Arusha ila wilayani analia na ukabila ,mara wamtishe ...Kwa kweli siwezi kuondoka mkoa wangu mpaka kifo ,huko kwingine naenda sana na kurudi ila kuishi kwa makazi hapana kwa kweli.
HILI NI KWELI UMENISANUA ASEENo ,huko mbeleni ukabila utakufa kwa sababu sasa hivi makabila mengi yanaoana .
Kwa hiyo hutaki watu wasaidiane we jamaaa una matatizo ya akiliSambamba na hilo kuna magroup ya kikabila pia wanayo wasapu yaani mfano mimi msukuma nikienda lindi nitaunganishwa kwenye group la wasukuma wa lindi yaani ukikutana na msukuma wa kule atakuambia lakini pia tuna group letu mwenzetu akipatwa na tatizo tuna saidiana nitamwambia kiongozi akuunganishe!!(huu ni mfano tu) Unaona jinsi ukabila unavyopaliliwa sasa hapa nchini!!
sawaKwa hiyo hutaki watu wasaidiane we jamaaa una matatizo ya akili
Na siku zote mtu anaye kusaidia ni yule anaye kufahamu period
OkayAmieni Masaki
Mwambie aache kazi arudi kuchunga mbuzi huyo nyumbuMdogo wangu yuko Arusha ila wilayani analia na ukabila ,mara wamtishe ...Kwa kweli siwezi kuondoka mkoa wangu mpaka kifo ,huko kwingine naenda sana na kurudi ila kuishi kwa makazi hapana kwa kweli.
Ndivyo inavyotakiwaWanyakyusa
Wachaga
Wahaya
Ukiwa wa kabila lao wanakupa priverage. Mimi siwezi kukupendelea kwa sababu wa kabila langu. Never
Wewe ni ng'ombe japo umesoma elimu yako inakusaidia kuibia watanzania wenzako tuu na kutangaza ukabilaWanyakyusa
Wachaga
Wahaya
Ukiwa wa kabila lao wanakupa priverage. Mimi siwezi kukupendelea kwa sababu wa kabila langu. Never
Naijua au niitajeIla Wahaya wamezidi, kuna shule nilienda kuanzia mlinzi mfanya usafi, walimu mpaka secretary ni wahaya. Hadi madereva wa school bus.
Yani ukiingia ni kama upo Bukoba, mwendo wa kihaya tu. Mmiliki wa shule ni Muhaya.
Itaje wajijue na kuelewa ukabila sio diliNaijua au niitaje
Ng'ombe mama yako niliyemuibiaWewe ni ng'ombe japo umesoma elimu yako inakusaidia kuibia watanzania wenzako tuu na kutangaza ukabila