Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

TFF for now is quishney,ni kichaka au inataka kufanana na taasisi binafsi,tutegemee madudu zaidi,*wadau hatufahamu agenda wala mikakati au jitihada maalumu za kuinua soka letu till now !!

niqqas hoe nakuomba uwe na subira, i know exactly what i am doing, sijaingia TFF bila mpango kazi.
 
Last edited by a moderator:
Mawenzi unanijua sikujui,nitakushukuru sana ukianika ushahidi hapa nakala ukampelekea IGP Ernest ukiainisha matukio yangu ya wizi,kumbuka wizi ni kosa la jinai kama raia mwema ni wajibu wako kuripoti matukio.

Kwa nini umefanya uhaya ktk uteuzi wa viongozi wa tff? Toa maelezo watz waelewe
 
Last edited by a moderator:

Henry Tandau hakuleta maombi ya ukatibu mkuu TFF.
 

escober Ndugu Tandau hakuomba nafasi yoyote ya uongozi TFF.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sina tatizo la kabila kama wanaweza kutupeleka world cup na mpira ukawa mzuri. Kuna kabila moja kule Arusha ndio linatoa wakimbiaji wa mbio ndefu kila mara. Sijasikia malalamiko kwamba hawa ndio wanakimbia peke yao! You know why? Stopwatch ndio inaamua.

Sent from my GT-P7500
 
Enzi za Tenga usaili ulikuwa unafanywa na kampuni professional toka nje. Huyu mhaya kafanyia chumbani kwake!

Mawenzi you think so? I agonized and fretted over these appointments.Usisahau kuwa Celestin alikuwa GS wa Yanga na Evodius alikuwa GS wa Simba,hivi vilabu havikuwapa kazi kwa uhaya wao, that is certain,kwa watu wengi it might sound trivial au insignificant but kwa mpira wetu it carries a lot of weight.All factors remaining the same utaelewa.Uwezo wa utendaji? Tuwape muda, binafsi ninaamini wataweza.
 
Last edited by a moderator:

wa nyumbani kwetu kabisa hawa!
 
Mimi pia niliwaonya kuwa Huyo Malinzi alikuwa anataka hicho cheo kibiashara zaidi na hiyo timu aliyoipanga ni kufanikisha malengo yake ya wizi; it will not take long before I am vindicated!!!

Bulesi bahati mbaya hunifahamu,si kwa hulka wala tabia.Nevertheless ahsante.
 
Last edited by a moderator:

IDUNDA you are very intelligent,thanks,we kichwa.
 
Last edited by a moderator:

escober una uhakika takwimu zako ziko sahihi? TFF ina kamati 17 zenye wajumbe zaidi ya 150,hapo ongeza na ad hoc xommitees,kama una interest na makabila ya wajumbe chunguza,mimi siyajui by categories kwa sababu i am not interested kabisa.
 
Last edited by a moderator:

Malafyale you think so? Tuombe uhai.
 
Last edited by a moderator:

Well said
 
Soka letu ndio ninaelekea kuzimu,Malinzi zaidi ya kulipa visasi ni kuwapa ulaji marafiki,sitashangaa wakati wakiongea na wakuu wa kamati lugha ikawa kihaya/english kwani jamaa ni wasomi,pia yupo na DALALI darasa la saba

chasuzy kamwe usimdharau mzee Dalali,ana historia kubwa na mpira wa nchi hii na moja ni kuiongoza klabu ya simba ikachukua ubingwa wa nchi hii bila kupoteza mechi,he has something to offer Tanzania football hata kama ni P7.
 
Last edited by a moderator:
Mmh inawezekana hawa jamaa ni hulka maana hata ktk chuoni kwetu (wanakiita cha kata lakini sio kweli) hawa jamaa wako full!
 
Jamal Malinzi,
afadhali umekuja ingawa umechelewa kuja kujibu hizi hoja za wadau wa soka hapa JF,baada ya kushinda uliahidi utakuja kuomba ushauri
Vigezo vya Katibu mkuu wa TFF anapaswa kuwa na masters degree hata waliopita (Mwakalebela na Osiah) walikuwa na masters degree,imekuwaje mmempa kazi Celestine Mwesigwa ambaye hana hicho kigezo?
 
Huu ukabila unauzungumziaje?

Ukabila upi unauongelea?
Binafsi sipendi kuongelea watu napenda tuongelee issues, issue mbele yetu ni nini tufanyw kulikomboa soka letu na kulipeleka mbele,tusizungumzie watu tuzungumzie mikakati,ukitaka kuni challenge kwwnye haya tutazungumza but not otherwise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…