Kuna uchaguzi Dar kata ya Kiwalani na buguruni pia!!yani hvyo ndo vipaumbele vyao jamani!!Viongoz wetu HAWAJUI KITU GANI HASA WANANCHI WANAHITAJI katika Muda mwafaka.
Ngoja wamalize Uchaguz Jimbo la liwale mwezi ujao
Billion 1 inateketea tena kumrudisha Bungeni mtu ambaye mwez uliopita alijiuzulu ubunge
Shithole leaders
Bongolala ni wewe na familia yako walahi!
Shwain kuba kabisa!
pole sana mkuu [emoji24]Nishapoteza wajomba zangu wawili [emoji24][emoji24][emoji24]
Hivi punde kuwa mkweli, Sita tu! acha mabo ya ajabu. Haiwezekani kivuko kikawa upside down ukasema only 6 are dead! Au ni maagizo ya Jiwe kuwa isemwe idadi ndogo
angalia hii upside down walikufa over 1000..mv bukoba
View attachment 872448
pumbavu zako,Unatia Aibu sana.
Nishapoteza wajomba zangu wawili [emoji24][emoji24][emoji24]
Mpuuzi wewe mlete basi Ben Saa nane, Lisu mlimfanya nini? Sandarusi coco beach si unahusika!Lijamaa limecharuka kama jambazi la kuuwa watu walahi!
Kumbe nilikuwa nafikiria ni mimi ambaye hukuona hamnazo! Kimbe na wengine wanakuona kidampa. Pole sana TL amedumaza ubongo wako polehovyo mama yako
Lazima watakuwa bavichaa hao, manaake wao wanapendaga majanga tu.Yaan kuna watu wame like ...sijajua wana maana gani?
Yaan kuna watu wame like ...sijajua wana maana gani?
Muulize mama yako kama mimi ni dampaKumbe nilikuwa nafikiria ni mimi ambaye hukuona hamnazo! Kimbe na wengine wanakuona kidampa. Pole sana TL amedumaza ubongo wako pole
Mh ngoja tusubiri mamlaka zitasemaje lakini watu wengi walikua wanatoka mnadani.Waliokolewa wamefika 32
Source clouds fm
Kama atakuwa amevaa life jackets atakuwa anaelea juu ya maji na atakuwa ana uwezo wa kupumua vizuri.hebu wataalam mtusaidie, mtu anaweza kukaa majini kwa muda gan kabla ya kuokolewa?