Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

It always gets better before it gets worse. This is Tanzania
 
CCM anzeni kujiandaa kwa jezi na bendera zenu kwani hao walikuwa wapigakura wenu.
 
mambo mengine ni magumu sana kulaumiana. mfano unakuta hakuna kitabu kinachoonyesha kuwa tiketi zitauzwa 100 tu. na zikiisha hakuna zingine. mfano tena unakuta hakuna mtu wa kukagua kama kila anaeingia ana tiketi. mfano wa tatu ni pale ambapo hakuna mashine ya kupima uzito mizigo inayoingia. na shida yetu sisi watanzia kinachotuponza ni huruma. mtubanakuambia nisiposafiri leo nitakosa hata pa kulala na sina hela hata ya kula halafu anaonewa huruma anaingia. matokeo yake tunajazana. ila mtu angejua kuwa kosa la kujaza hata mtu mmoja zaidi ni kufukuzwa kazi asingekuwa na huruma.
 
Na waziri wangu uelewe kuwa ni haki ya waliofiwa kujua wapendwa wao walikufaje(tungekuwa tupo kwenye nchi ya kujielewa uchunguzi yakinifu ungefanywa kubaini whats went wrong na nani atawajibika maana ajali its someone FAULTY sio kazi ya Mungu,na je kuna uwezekano wa serikali kushitakiwa kwenye kwenye kesi ya madai au criminal kwa kusababisha hivi vifo au itakuwa ni cold case kama ya MV BUKOBA?
 

Ndo mana nikahoji hakuna ukaguzi? Mana ukaguzi ukiwepo utazingatia yote hayo uliyosema
 
hatutaki kusikia idadi ya majeneza tunataka kujua chanzo halisi cha ajali na wahusika wajipime
 
Yep! They deserve a state funeral... In the end of the day, every one will go... No one will live forever...
 
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amesitisha ziara yake iliyokuwa ikiendelea mkoani Dodoma katika wilaya ya Chemba na kuelekea mkoani Mwanza kwa ajili ya kuwafariji na kufuatilia tukio la ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV.Nyerere ambapo mpaka sasa wawtu 125 wameripotiwa kupoteza maisha
 
Chongeni mengine mtutunzie sisi watu wa kusafiri ziwani.
Habari nyingine bora hata kutozisikia.
 
Kusema vifaa na giza ni hoja dhaifu sana.
Muda ajali imetokea haukutosha kwa kamati ya maafa mkoa wa Mwanza au kitaifa kuandaa vilivyohitajika ili kuongeza ufanisi wa zoezi zima la uokozi!?
 
mungu awape faraja ndungu waliopotelewa na ndugu zao kwani nikatika majuz mazito yaliyo wakuta. yakisababishwa na viongoz wanaopenda kukaa maofisin na kuzungumza mambo kisiasa na sio kiutendaji' ukifatilia walishapewa ahad nyingi kwamba kivuko kitatengeneza lakin kwa hili utaona ukaguz wa mara kwa mara utatokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…