Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Poleni wafiwa mungu awape subra katika kipindi hichi kigumu mlicho kuwa nacho
 
Halafu wakale wapi? Hapa kila mtu yuko anatubu mpaka dhambi za jirani!!
 
Hili tukio limenigusa mno ni kama yale yanayotokea middle east watoto wazee wanavyouawa kila day...Mungu tunaomba uwafanyie wepesi ndugu zetu wa middle east na waliopoteza maisha ktk ajali ya mv nyerere Walaze mahala pema!
 
Afu mipango sio matumizi
 
Kuitwa mjinga hata sio tusi
 
Chombo kina uwezo wa kubeba watu 100 sawa sawa na tani 25,sasa hao watu 400 ilikuaje watu wazidishwe
 
Unaambiwa hii Kaa Fala
 
Ndo umeongea nn
 
Haya mambo ndio ccm wanayapenda hili washughulikie mazishi, lakini muda wananchi wanalilia kivuko walaaa walikua wapo busy kununua wabunge.....haya furahini sasa mlichokua mnakitaka kimetokea
 
Mtu fulani katoa kafara la kutafuta kupendwa lakini wapi hapendeki!
 
Rest in peace...lakini kwann hatujifunzi kwa mv bukoba na mv spice?..maana chanzo ni kile kile cha kuzidisha mzigo...dah something is wrong with someone responsible
Pamoja na ubovu wewe ulishaona wapi eti watu walikimbilia kutoka hivyo uzito ukazidi upande mmoja ndio kikabinuka!!! Kweli??
 
I received Putins condolences on behalf of the country 😖
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…