Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Watanznaia wengi wanajali starehe, burudani, kuliko KUOMBOLEZA na wengine. Nyombo vya habari media zetu zote ni mziki na vupindi visivyo na maana hasa katika wakati akama huu.
 
R.I.P kwa wote waliotuacha. Kuna watu tayari wamesahau kwamba kuna wenzao waliofiwa. Alafu Moderator huu uzi upeleke kwenye jukwa lake, sijaona habari zozote kuhusu Kenya.
 
Watu wengi wamepoteza Maisha,tuko pamoja nao ndg Wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote
Nalog off
 
Hiyo saf inatoka wap mkuu

Mbona unakua mbumbu na ziro kichwan kias hcho ...

Huwa nafikiria sana hivi una hata mama wewe au mdg

There is no line btn you people and witches
Usijisumbue kumjibu mtu kama huyo, huwa natamani nimjibu ila huwa namjibu tu kimoyo moyo maana nikifikiria namuonea huruma.
 
Umeongea vizuri sana. mimi nami nimetoa yangu. Basi UCHUNGUZI uanzie hapa na kuendelea.Then kila aliyezembea awe ni nani
awajibishwe.Hiyo ndo maana yangu kuu.
 
Walau kuanzia asubuhi bendera zingekuwa nusu mlingoti! Sijui nchi hii uongozi wake hasa awamu hii umelogwa na nani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…