Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

nimeongea na watu wa ukara hii habari ni ya ukweli na hali ni mbaya sana kwani watu walikuwa wanatoka gulioni bugorora na kurudi ukara kisiwani, hivyo meli ilikuwa imeshona sana, waliopatikana ni wachache sana
 
Nani aliyekudanganya kuwa kura ndio zinaamua viongozi??
 
mleta mada picha uliyoweka sio sahihi sio ya tukio husika..hio picha ni tukio la kuzama MV spice kule Zanzibar...cc Mod One
 

kwa habari hii Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Eng. Dkt. Mussa Mgwatu na Eng. Hassan Karonda kuwajibi kunawahusu aisee,tena chap kwa haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…