Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

KWA UFUNDI WA KUOGELEA, HAMNA HATA MKARA MMOJA ATAKUFA KWA AJALI HIYO..I AM TELLING
 
nimeongea na watu wa ukara kisiwani, hali ni mbaya sana meli imezama na kupotea yooote
 
Mnalalamika serikali kutumia pesa kwenye chaguzi za marudio wakati mnaopiga folleni kwenda kupiga kura ni nyinyi nyinyi.
Utakuta li mtu limetoka kutaka kufia campaigns za mwafulani halafu leo anakuja kusema serikali inatumia vibaya hela kwenye chaguzi ambazo hazina maana.

Anyway, Poleni sana wana Ukerewe.
 
Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.


====

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Habari za Hivi tulizopata kutokea huko Ukerewe kimezama mpaka sasa hivi Hatujaweza kupata idadi ya Majeruhi wala vifo tutawajuza mda si mrefu

Mwanahabari Huru

=====

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Pole kwao
 
kama hakukuwa na dhoruba basi ni yale mambo ya kujaza watu na walivyo beba kupita kiasi.
poleni sana
Unapohimiza watu wazaliane tu bila ya mikakati ya kukidhi hao watu wanaoongezeka ndio tunafika hapa, watu wengi wanajazwa kupita kiasi ktk chombo.

Pole sana kwa wahusika wote.
 
Kama walijaza kupita kiasi hiyo ni tamaa ya hela hata kama demand ni kubwa lakini tamaa ni mbaya sana

Mungu awanusuru kwa kweli
 
Back
Top Bottom