relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
wajenge kwenye visiwa vyote mbona mapesa tunayo tuKwa taarifa yako ziwa Victoria Lina visiwa 95 Ko madaraja mangapi yenye urefu upi yakajengwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wajenge kwenye visiwa vyote mbona mapesa tunayo tuKwa taarifa yako ziwa Victoria Lina visiwa 95 Ko madaraja mangapi yenye urefu upi yakajengwa
Mkuu acha hizo, mbona kigangwala alitembelewa na anadundahahaa haaa
Serikali ndio wanamiliki na kuendesha hivyo vivuko wao ndio wanapaswa kulaumiwa,halafu ni aibu hakuna list ya majina /idadi ya wasafiri waliokuwa kwenye kivukoMadhara yake ndio hayo,alafu tunaanza kuilaumu serikali na
ni kutaimiana mkuuHaya umekuwa wa kwanza andika vizuri sasa
Ni wasukuma ? R. Ï. PNishapoteza wajomba zangu wawili [emoji24][emoji24][emoji24]
pole sana mkuu [emoji24]
Pole sana mkuu.
hebu wataalam mtusaidie, mtu anaweza kukaa majini kwa muda gan kabla ya kuokolewa?
kwani mimi ndiye niliyesema mkuu " hahaa " lakini hata hivyo yatupasa tuweke akiba ya maneno ". .. maana ilichukuwa takribani miezi miwili kwa majuto kuja kufikwa na kifo baada ya kutoka Kuonana na brother jiweMkuu acha hizo, mbona kigangwala alitembelewa na anadunda
yaani ," inatia kinyaa " in Africa " ukiwa kiongozi tu " basi unakuwa tayari " kuepuka misingi ya utu " na kuuvaa ushetani "Hao sita sio watu nafikiri ni magari makubwa Yale TATA au Scania kivuko kile kimeondoka na watu si chini ya 30 siasa mpk kwenye maisha ya watu!!
Wanajaribu kuneutralize situation but only fools can understand them not us anymore!!
Yaani wanakalia misifa tuuu!!wanakera sana hawa watu
Mkuu umeongea kweli tupu!Kupinduka kwa chombo hiki lazima kwa vyovyote ni issue ya stability tu. Na poor stability inaweza kusababiswa na inproper positioning of the cargo au ubora wa chombo chenyewe. N wakati mwingine cargo shifting kwa sababu yeyote ile
Ni wachagaNi wasukuma ? R. Ï. P
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Lijamaa limecharuka kama jambazi la kuuwa watu walahi!