Ahahahaaaaa mpaka kila mtu ajueHuyo nae hajui chochote kajiropokea tu.
Le Mutuz anaweza kutunza siri yule? Akipewa simu tu anatangaza kila saa/siku!
- Haya ni maneno ya Kimasikini na ujinga sana, Super Bilionea kama Davis Mosha aende Uwanja wa NDege aingie kwenye ndege ambayo haimuhusu kisa anataka kupiga picha za kujionyesha, mkuu kweli umetumia muda wako wote huu kuandika maneno yote haya kumhusu Super Bilionea ambaye hata utmbike familia yako yote hutakuja kumfikia, hahahaha
- Well, the story is mimi nilikuwa ninaenda Bukoba akaniambia nimsubiri jioni twende na ndege yake ya Private, nikamwambia natangulia ila nitapanda wakati wa kurudi, nikiwa msibani akanipigia na kuniambia ndege yake imepatwa na matatizo ya kioo cha pilot walipokuwa hewani imebidi warudi Dar, na nikaongea na wote waliokuwa kwenye ndege na wakanitumia picha zote za mkasa mzima ninazo.
- Well, toka nimerudi Bukoba sijaonana naye wala kuongea naye cause amesafiri nje ya nchi, now lets say unayoyasema ni kweli hivi ni kweli wewe unajua mali zote za Davis na Majina anayotumia kuzimiliki? Serikali ya Malawi iliuza ndege ya Rais na kudai haina ndege tena ikaja kugundulika kumbe wamedanganya wanayo ndege kwa jina tofauti huko huko South Africa unakokusema vipi unaisemaje hiyo? Kwani ndege ni hela ngapi kwamba Davis mtu anayemiliki mali za ajabu sana anaweza kushindwa kununua?
- Ningesema wewe ndiye mwenye hiyo ndege kweli lakini DAvis Mosha please anaweza kuwa nazo hata zaidi ya moja, siamini mali za watu wengi wa Tanzania walizonazo nje ya nchi zimeandikwa majina yao kamili, ninaamini kwamba Davis anayo ndege na ninaamini haipo kwenye jina lake, kama anaweza kumiliki Gari lenye thamani ya USD $ 400,000 tena kwa miaka zaidi ya 10 now itakauwa ndege ndogo au hujui bei ya ndege ndogo? I mean mtu anamiliki Shamba la ajabu pale Ndurama Arusha lina farasi zaidi ya 10 wewe unajua gharama ya kumtunza farasi mmoja kwa siku?
- Well, kama kawaida mnaniongezea umaarufu tu na hoja za kijinga jinga and I love it, ninasema hivi wewe huna uwezo wa kuwa na ndege ila Davis anao na najua as a FACT anaweza kuwa na ndege hata zaidi ya moja, pole sana kama wewe sio tajiri wengine ni matajiri na utakubali tu mwisho wa safari, il wacha haya majungu ni ujinga!!
Le Mutuz
Povu looote hili ni kumtetea huyo tajiri yako?
Ama kweli umaskini wa akili ni mbaya sana
- yaani mwanaume mzima unajisema hivi jamani pole sana hahahahahahahaha
Le Mutuz
- Ninamtetea kwa FACTS za my business patner najua hujui kuwa mimi na yeye tunafungua Radio na TV yaani African Swahili Media company na leseni tumeshapata pole sana hahahahahaha akili mbaya ni majungu kama yako!1
Le Mutuz
Una hisa ngapi?
Ana his 00000.01😕Mpwa akijibu tafadhali nipe taarifa haaa haaa hii partner yake ina mushkeli.
- Haya ni maneno ya Kimasikini na ujinga sana, Super Bilionea kama Davis Mosha aende Uwanja wa NDege aingie kwenye ndege ambayo haimuhusu kisa anataka kupiga picha za kujionyesha, mkuu kweli umetumia muda wako wote huu kuandika maneno yote haya kumhusu Super Bilionea ambaye hata utmbike familia yako yote hutakuja kumfikia, hahahaha
- Well, the story is mimi nilikuwa ninaenda Bukoba akaniambia nimsubiri jioni twende na ndege yake ya Private, nikamwambia natangulia ila nitapanda wakati wa kurudi, nikiwa msibani akanipigia na kuniambia ndege yake imepatwa na matatizo ya kioo cha pilot walipokuwa hewani imebidi warudi Dar, na nikaongea na wote waliokuwa kwenye ndege na wakanitumia picha zote za mkasa mzima ninazo.
- Well, toka nimerudi Bukoba sijaonana naye wala kuongea naye cause amesafiri nje ya nchi, now lets say unayoyasema ni kweli hivi ni kweli wewe unajua mali zote za Davis na Majina anayotumia kuzimiliki? Serikali ya Malawi iliuza ndege ya Rais na kudai haina ndege tena ikaja kugundulika kumbe wamedanganya wanayo ndege kwa jina tofauti huko huko South Africa unakokusema vipi unaisemaje hiyo? Kwani ndege ni hela ngapi kwamba Davis mtu anayemiliki mali za ajabu sana anaweza kushindwa kununua?
- Ningesema wewe ndiye mwenye hiyo ndege kweli lakini DAvis Mosha please anaweza kuwa nazo hata zaidi ya moja, siamini mali za watu wengi wa Tanzania walizonazo nje ya nchi zimeandikwa majina yao kamili, ninaamini kwamba Davis anayo ndege na ninaamini haipo kwenye jina lake, kama anaweza kumiliki Gari lenye thamani ya USD $ 400,000 tena kwa miaka zaidi ya 10 now itakauwa ndege ndogo au hujui bei ya ndege ndogo? I mean mtu anamiliki Shamba la ajabu pale Ndurama Arusha lina farasi zaidi ya 10 wewe unajua gharama ya kumtunza farasi mmoja kwa siku?
- Well, kama kawaida mnaniongezea umaarufu tu na hoja za kijinga jinga and I love it, ninasema hivi wewe huna uwezo wa kuwa na ndege ila Davis anao na najua as a FACT anaweza kuwa na ndege hata zaidi ya moja, pole sana kama wewe sio tajiri wengine ni matajiri na utakubali tu mwisho wa safari, il wacha haya majungu ni ujinga!!
Le Mutuz
| Staa wa Bongo Movies, Adam Haji ‘Baba Haji' amemtolea uvivu ‘The King Of All Bongo SociaMedia Network' Lemutuz kutokana na tukio la udhalilishaji alilolifanya dhidi yake! |