Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
 
Mnajianzishia accounts kumi kumi ku support cheap propaganda.

Wewe mtoto wako umempeleka Kayumba tuliza komwe. Siku ukipata hela utamuhamisha tu. Makasiriko ya nini sasa?

Mnajaza server ya JF kwa ujinga usio na mbale wala nyuma
 
Back
Top Bottom