Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Unahalalisha upumbavu! Ada ilisharahisishwa sana namna ya kulipia.
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
kama hauna pesa mpeleke KAYUMBA na kama unayo Mpeleke EM.

Matatizo siyo tu Ada ,matatizo yapo Mengi tu ,Kuna Kodi ya nyumba ,kuna wengine hata hela ya kula hana.
 
Muogope Allah Wacha majivuno unaweza kufa akaenda kulelewa na ndugu hata hiyo Kayumba yenyewe asimalize
Sina majivuno yoyote. Ni maamuzi ya mtu binafsi.
Umesema nikifa..kumbe sitakuwepo kwahiyo sitakuwa na maamuzi yoyote. Pia hata akisomeshwa na ndugu zangu hatasoma Kayumba hilo natambua.

Halafu haimaanishi kwamba wanaosomesha Kayumba hawana uwezo kuliko mimi. Wengi tu wamenizidi. Ni suala la maamuzi usomeshe mtoto wapi. Wengine tunashinda njaa ili mtoto akasome English medium.
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Kwahiyo baada ya kuambiwa pokea,je walipokea? Tuanzie hapa kwanza
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Weka ushahidi (video)
 
Wametaka wenyewe kudhalilika, kwanini upite mbele? kuna mambo hayahitaji kuombewa huwezi omba ombi la Mungu naomba hela, hela zina njia yake, Hata Mungu mwenyewe anasema anakupata nguvu za kupata utajiri, nguvu ni afya ili itakapopambana upate mahela.

Wale wanaotaka kuolewa wapite mbele waombewe, kuna wanaume wanashushwa mbinguni?
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Matatiizo ya watanzania hayaishi... hata angesema kama wewe unadaiwa kodi ya nyumba hujalipa bado wangesimama kama wote. Hata angesema kama wewe unakaribia 40s huna hata kakiwanja ka 20x20 bado wangesimama. Watanzania ni full matatizo.
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Hhhhhhhhhh kwaio ada inapatikana kwa kuombewa? Dah afrika Afrika
 
kama hauna pesa mpeleke KAYUMBA na kama unayo Mpeleke EM.

Matatizo siyo tu Ada ,matatizo yapo Mengi tu ,Kuna Kodi ya nyumba ,kuna wengine hata hela ya kula hana.
Wakiitwa wasio na marejesho pengine wakatoka mara mbili ya hao wasio na ada.
 
Back
Top Bottom