Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kingu unamjua?Nyie watu wenye akili mbiklikimo mtatuchosha na upuuzi wenu,akamatwe kingu huku jambazi mbowe kaachiwa
Kwa mwiguluMbona huyu ni Mkristo,hiyo tabia karithi kutoka kwa nani.
Hebu weka picha yake.Muhuni mkubwa huyo.Huyu ni Mbunge wa CCM katika ule mpango wa Mahera na Magufuli wa kuwapa ubunge watu waovu, wako wengi waliopewa ubunge wa namna hii akiwemo Ramadhan Ighondu.
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?
Mbwa-koko weye?Nyie watu wenye akili mbiklikimo mtatuchosha na upuuzi wenu,akamatwe kingu huku jambazi mbowe kaachiwa
Jeshi la Polisi na Vyombo vya ulinzi na usalama wananchi wataridhika kama uchunguzi wa tuhuma hizi utafanyika.Huyu ni Mbunge wa CCM katika ule mpango wa Mahera na Magufuli wa kuwapa ubunge watu waovu, wako wengi waliopewa ubunge wa namna hii akiwemo Ramadhan Ighondu.
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?
Hakika studio sogeza pua yakeHebu weka picha yake.Muhuni mkubwa huyo.
Tundu Lissu hoyeeeeeHuyu ni Mbunge wa CCM katika ule mpango wa Mahera na Magufuli wa kuwapa ubunge watu waovu, wako wengi waliopewa ubunge wa namna hii akiwemo Ramadhan Ighondu.
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?
Watu hai wanaongelea vitu hai.Huyu ni Mbunge wa CCM katika ule mpango wa Mahera na Magufuli wa kuwapa ubunge watu waovu, wako wengi waliopewa ubunge wa namna hii akiwemo Ramadhan Ighondu.
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?
Amekuja Kubenea,mmesaidiaje??Polisi anafuata mtuhumiwa baada ya anayetuhumu kupeleka malalamiko. Hatufanyii kazi matukio ya mitandaoni.
Namuomba mwenye kulalamika afike kituoni nasi tutalifanyia kazi mara moja.
Vinginevyo utakuwa unamchafua bure mtu na utashitakiwa kwa hilo.
Sasa humu kwa Maxence ndio kuna haki ya huyo mhanga wa tukio?Amekuja Kubenea,mmesaidiaje??