Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

watanzania wengi hapa mtandaoni watu wapumbavu sana!.Lipumba kama kiongozi wa kisiasa amesema kuwa umoja wao wa ukawa itamsimamisha mgombea mmoja wa urais....sasa hiyo ni hoja ambayo nchi yenye watu wenye akili wanaijadili kwa faida ya nchi but hapa Tanzania ni kinyume watu wanakaa ktk mitandaoo na kuanza kukebehi!.....kukebehi hausaidii nchi bali unabomoa nchi bali kujadili ni faida na matunda kwa nchi......hizi ndizoa akili za watu wengi hapa TZ,Ambapo gari la petroli inapata ajali na mafuta inamwagika na watu wenye akili zao wanakimbilia kwenda kuiba!yamewapata fresh....aibu gani kwaviongozi wa nchi kuwa na jamii mijizi namna hii....nchi hii inakwenda kuangamia....maana sasa hivi ukipata ajali hapa TZ hakuna msaada bali ujue umetapa balaa nyingine ya kumalizwa kabisa!......ndiyo nchi ilipofikishwa maana hatukuwa hivi!.TUMEKWISHA.

Sasa unategemea nn km vijana wetu wanamaliza darasa la saba hawajui kusoma na kuandika? Ujinga unazidi kushamiri Tz!
Cku hz kuna hadi division 5!
Sifa ya mbunge ajue kusoma na kuandka!
Serikali inatumia mabilion ya pesa kuua upinzan!
Alafu usitake kubshana na watu humu ndani, wengi wameajiliwa kutetea na kuponda! Watu wanafanya juu chn upinzani wasiungane!
Hii nchi haiwezi kubadilika kwa watz wajinga tulionao hawa mpk kizazi hiki kife kije kingne!
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya UKAWA.Ukawa wanataka serikali tatu sio moja! Leo ghafla wameibuka wanaungana kuleta mgombea uraisi mmoja! Haya wee!! Haya twende kwenye katiba ya nchi je inaruhusu vyama kuungana na kuteua mgombea mmoja wa uraisi? Hivi UKAWA wanasoma katiba au huwa wanashinda kwenye viroba na bia za kilimanjaro? Yaani profesa mzima hajui katiba ya nchi inasemaje kuhusu hilo? Hata wakiungana katiba ya nchi inaruhusu kuunda serikali ya mseto wa vyama vingi?

Umechemka hata huelewi unaloliandika hapa

UKAWA tulipowaambia wabaki bunge la katiba walifikiri tunaowashauri wajinga.Lakini tulikuwa serious ili mambo kama haya walitakiwa wabaki ndani kuyajadili kwa undani.Sasa huyo mgombea hata akipita hawezi unda serikali ya kushirikisha vyama vingine!!! Lipumba kwa kuchemka hajambo.Nashukuru hayuko tena chuo kikuu angelisha pumba watoto.

Umecheka hata huelewi unaloliandika hapa, yaweza kuwa una wazo lakini hujui kupanga maneno....kichwa cha panzi!
 
lipumba, mbatia, dr.slaa anayefaa hapo ni mbatia peke yake. Mbowe hana vigezo elimu inamuangusha.

umeulizwa na nani? Umetumwa kutuchagulia? Wewe subiria mabosi wako wa lumumba wakutume utafute umbea mwengine. Huku kwengine sio kwako.
 
Mwenyekiti mweza wa ukawa pr ibrahimu lipumba ametangaza kusimamish mgombea mmoja wa urais mwaka 2015.pr lipumba ametangaza hayo akiwa anawahutubia maelu ya watu mkoani mtwara

mbona baba yao thabodo kashasema hawana presidential material au watamsimamisha mzee warioba?
 
umeulizwa na nani? Umetumwa kutuchagulia? Wewe subiria mabosi wako wa lumumba wakutume utafute umbea mwengine. Huku kwengine sio kwako.
Kamanda mbona umepanic ghafla.
 
Wazo zuri sana kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, tatizo litakuja mwishoni kwenye kumpata huyo mgombea wa pamoja.
Naona changamoto katika maeneo yafuatayo:

1. Sheria ya Uchaguzi mgombea anasimama katika platform ya chama. Wakati mkikubaliana mgombea fulani agombee hiyo ni sawa na kusema chama fulani kigombee. Tofauti na Kenya ambao sheria zao zinaruhusu kuanzisha chama au umoja na kuupa jina kabla ya uchaguzi tofauti na Tanzania

2. Sera, kabla ya kufikia hapo kwenye kuwa na mgombea mmoja je sera ya vyama hivi zinaendana? Je kuna kingine kinachowaunganisha ki- ideology tofauti na Katiba ?

3. Je viongozi hawa wakuu wapo tayari kwa hili? Kwa sasa hawafahamu ni nani atayepitishwa kugombea, je Mbatia yupo tayari kuona Lipumba ama Mbowe anagombea nafasi ya Urais?

4. Je kuna mipango na taratibu za kumpata huyo mgombea kwa njia ambayo wote wataridhika?

5. Time frame; muda uliobaki ni mchache kwa hiyo badala ya kuendelea na matamko ya kuunganisha nguvu ni vyema sasa wakakaa chini na kuonyesha kwa vitendo badala ya kuwa tu ni kauli ya majukwaani.

Kila la kheri, mkifanikisha hili itasaidia hata kuongeza nguvu ya Bunge maana kutakuwa na Wabunge wengi wenye mitazamo tofauti na hii ya Chama cha Mpainduzi (Sina hakika ni mapinduzi yapi hasa yanayozungumzwa hapa)

2.
 
Hapo kwenye mgombea mmoja ndio mwisho wa UKAWA. Lazima patokee mtafaruku katika kumpata huyo mgombea.

Lipumba hatakubali asiwe yeye wakati CHADEMA pia ni waroho wa madaraka!
 
Katiba mpya ndiyo inasema hivyo mgombea urais lazima awe na elimu ya chuo kikuu.

Asiye na Elimu nani? kama ni mbowe poleni sana, ana Masters ya kusomea, profesa Lipumba ni pro. wa kusomea na alitoa jasho, Dr. slaa, alisomea darasani na alitoa jasho kuupata udaktari, Je. Dr. kikwete alisomea wapi?

Kwanza mlikosea sana bunge la katiba, mngesema kama ni Dr. au prof. lazima ausomee...
 
Tamaa na uroho wa madaraka. Ilikuwa umoja wa katiba sasa ni umoja wa urais

Huwezi kuwa na uroho kabla hujala, labda utakuwa na njaa sio uroho. Aliye mroho ni yule aliyekuwa akila kwa miaka zaidi ya 50 na bado anataka kuendelea kula bila kurusu wenzie nao wale utadhani chakula ni chake peke yake. Fikiria tena kabla ya kuandika.
 
Ukawa inamwandaa Lowassa awe Rais kwa kupitia UKAWA. Ili litimie lile neno alilolisema Mwenyeheri Julius Kambarage Burito Nyerere kuwa Rais wa Tanzania LAZIMA atoke CCM

kwani Lowasa ndo sisiemu tu!!! kuna kitu kinaitwa Warioba hata mzee wa kaya anajua habari zake kamuulize.
 
Tamaa na uroho wa madaraka. Ilikuwa umoja wa katiba sasa ni umoja wa urais

1st katiba mpya wanayoitaka wananchi bado haijapatikana hasa baada ya mchakato kunajisiwa na ccm kwa baraka za kikwete chini ya usimamizi wa Sitta na Chenge.

2nd muunagano huu ni wa kudumu na tutakuwa tunabadili dhamira kulingana na wakati.

im so happy UKAWA is a pain in your ass.
 
Back
Top Bottom