UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

Kwa maslahi ya watanzania lakini, hawa Ukawa na Wajerumani ni kwa maslahi ya nani?

We mbwa usinitafutie BAN. Mamako anajifungulia sakafuni tena kwa tochi ya simu unasema wizi wa CCM ni kwa maslahi ya watanzania? Maslahi gani kama mamako anaenda kuchota maji kilomita 30 kutoka nyumbani!?
 
SOON AND VERY SOON ULAFI HUU UTAISHA....
 
umbea wa vibaraka wa mi - ccm.
 
Sasa hapa ndo imeandika nini? Ishu za mademu km hao kina Kotta hiyo ndio fani ya Pasco. Inapokuja kwenye totoz Pasco anakuwa sio kichaa. Akija siasani tumbo linatangulia akili zinafuata.
 
Last edited by a moderator:
Kama in kweli serikali kwanini isichukue hatua?? Shame on you propagandist
 
Sasa hapa ndo imeandika nini? Ishu za mademu km hao kina Kotta hiyo ndio fani ya Pasco. Inapokuja kwenye totoz Pasco anakuwa sio kichaa. Akija siasani tumbo linatangulia akili zinafuata.

Nimenukuu tu kuhusu suala la ukombozi wa nchi aliloongelea.
 
Last edited by a moderator:


- Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza
- Wamesema mabilioni hayo
- Inasemekana - Hawana uhakika
- Source: Jambo Leo (Mhariri kanjanja anaandika tetesi bila uthibitisho)

Mwenye ushahidi mahususi aupeleke kwenye vyombo vya dola badala ya vyombo vya habari!!
Habari kama hii ikiandikwa na media house kama Mwananchi wenye akili tunaweza kusema labda; na tukawapa the benefit of the doubt!! kwa sababu they are the most professional media house in Tanzania today na pia wao ni wawekezaji utoka Kenya kwa hiyo wana sababu kubwa ya kutopenda kuingilia siasa za nchi hii kiiasi hicho kwa kuwa inaweza kuathiri shughuli zao hapa nchini.
Bottom line hakuna njama wala mbinu yoyote itakayovuruga msimamo halali wa UKAWA wala kuiokoa CCM; lazima ife tu. period.
Nape, Makonda Wassira; Lukuvi walolome tu hawana lao; mukulu ndio huyo kashabenjukia UKAWA; anataka kuteta nao kwa sababu anaiona mantiki yao tofauti na makasuku, mafisadi na wahafidhina wengine wa CCM

UKAWA kama KAWA; UKAWA ni DAWA.
 
Hapo tatizo liko wapi? Pesa si zije zifanye kazi, mbona pesa za CCM toka China hazikuhojiwa? Au upinzani ndiyo usipewe pesa ufe na demokrasia? Hakuna point bali mipasho ya Tanzania Kwanza waliokosa mwelekeo (Hayati Kolimba alishawaambia hawana sera/mwelekeo)
 
safi sana ahsante wajeruman kwa kutusaidia pesa ili wananchi wapate katiba yao na sio katiba ya ccm. tena naomba isiishie hapo bali waendelee kuleta mabilioni na mabilioni....!!
 
Si ujerumani tu,hata sisi watz tuishio huku A.Kusini tunaombea libunge hili feki livurugike kwa sbb limesigina rasimu ya wananchi na kujitwika zigo lisobebeka la kujikusanyia maoni yao ya kimagambagamba na kujifungia ndani kuyapitisha eti ndo katiba mpya!
Shame on you sam sox na pro gambaz.
 
Duh inamaana hii nchi haina usalama kiasi kwamba wanaweza kuona kitu km hicho kinafanyika na wakakaa kimya kuruhusu pesa chafu ziingie ndani ya nchi na kusababisha vurugu km wanavyodai?
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…