Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

wadau naombeni msaada kuhusu jambo hili! je huwa linasababishwa na nini? na ipi ni tiba?

Mnunulie spirit awe anasafisha uke itasaidia kuua wadudu wanao leta harufu,
Akimaliza kusafisha mwambie ajifukuzie udi anavaa sketi anajifunika kitenge ule moshi wa udi anauelekezea kwenye uke kisha anakuja kwako mbona utamwambie ahamie kwako au wewe ubebe vitanda uhamie kwake raha utakayo pata
 

harufu zipo nyingi, je ni kama ya dagaa wa mwaloni? Nishawahi kukumbana na harufu ya namna hiyo
 
Kama tamu na nyuma ya ukuta kutakuwa kutamu zaidi ya asali
Mwezi mtukufu huu jamani, punguzeni ukali wa maneno! Wengine tumetoka njia ya msalaba dis morning, mwatutengulia swaumu ati!
 
Hey boy,si lazma uchangie kila thread kama huna majibu! Ameileta hapa kwa kuwa anahitaji msaada wa wataalam,sasa unamwambia akamulize mwenyewe iweje!?

Hajakuwa huyo. Akikuwa atajua kuheshimu mawazo na matatizo ya wengine!
 

ndokeji sina shaka wewe ni daktari. Ushauri wako unazingatia weledi katika fani hiyo. Yeah, nisha kumbana na harufu kama ya dagaa waliooza. Ukiwa hapa mwanza, mwaloni kirumba unakaribishwa na harufu hiyo. Je mwanamke mwenye harufu hiyo, inawezekana alisafisha kwa sabuni ukeni?
 
Mwezi mtukufu huu jamani, punguzeni ukali wa maneno! Wengine tumetoka njia ya msalaba dis morning, mwatutengulia swaumu ati!

Samahani kwa kukukwaza hivi mwezi mtukufu huu unaisha lini? Tukumbushane
 
afu ukafanyaje? Mpe ushauri mwenzio nae akafanye!

nilihisi ni kawaida ya wanawake na kwa sababu nilikuwa mgeni sikufanya kitu. Namshauri am pm ndokeji, jamaa ana ushauri mzuri sana, namkubali. Aliwahi kunishauri kitu ambacho nilikuwa nimesha kata tamaa lakini nikarejewa na faraja kwa ushauri wake
 
inavyoelekea huijui sabuni ninayo iongelea,,ipo maalumu ya wanawake,sina biashara ya sabuni,huo ndio uwezo wako wa kufikiri ulivyokuambia siwezi kukubadilisha. hujalazimishwa kukubali ni maamuzi yako.sina muda wa kubishana na wewe
Sabuni gani mbona husemi?
Kuna makala moja niliisoma humu juu ya ongezeko la idadi ya wanawake wenye
kansa ya kizazi na mojawapo ya sababu ikiwa ni matumizi ya sabuni zenye chemikali fulani, kwa nia ya kujisafishia sehemu za siri.
It was a detailed research document, nikiweza kuitafuta ntaweka link hapa.
 
Afu ukafanyaje? Mpe ushauri mwenzio nae akafanye!

Ushauri wangu hapo juu hujausoma? Apige soap soap asafishe na spirit kuua wadudu.
Ingekuwa uke mkubwa huku mi ndo mtaalam nina kadawa kangu ningemwambia anitafute nimuuzie inaitwa dawa ya kurejesha heshima ya ndoa
 
Niletee siku 2 hiyo K nikikurudishia haitonuka 4rever! By mtaalam wa K mbofumbofu!
 
Kikubwa ni usafi wa ayo maeneo..asafishe kwa maji ya uvuguvugu..ndani na nje,anyoe vizuri pindi msitu unapochanua,muda wote pawe pakavu.akienda hata public toilets,ajsafishe kwa maji safi(wengi huwa tunabakiza,maji saf ya kunywa kwa hiyo shughul,au yameisha,wakinga hata kwa bomba,pia uwe na toilet paper yako kwa kujifuta,ama ktambaa safi. Akili kumkichwa,epuka kushea!) hakikisha akijojoa vimjojo havibak baki.
Chupi iwe safi na kavu mda wote,awe na vtaulo safi,ajifute after kuoga ama kuosha K,.yan ikibid vipasiwe na chupi pia upitishe pasi kmtindo pale kati na pendelea white cotton pants..spray yenye harufu nzur anapulzia kwa mbaali icyoathiri,ama udi wenye harufu nzuur ya kuvutia ajfukze kmtndo,but kama ni mpenz!Anywe maji ya kunywa ya kutosha.em ajaribu iyo walau per 3days!
'ikizid akamuone doct fastaa b4 mgomo
 
By ntamaholo
MKUU SALAMU.

NDOKEJI SINA SHAKA WEWE NI DAKTARI. USHAURI WAKO UNAZINGATIA WELEDI KATIKA FANI HIYO. YEAH, NISHA KUMBANA NA HARUFU KAMA YA DAGAA WALIOOZA. UKIWA HAPA MWANZA, MWALONI KIRUMBA UNAKARIBISHWA NA HARUFU HIYO. JE MWANAMKE MWENYE HARUFU HIYO, INAWEZEKANA ALISAFISHA KWA SABUNI UKENI?

NDOKEJI

mzee mara nyingi hilo tatizo linaitwa bacterial vaginosis , linalosababiswa na unhealth bacteria kuzaliana ukeni .bacteria hao wanatabia ya kutoa hiyo harufu .kwa mwanamke anayepaka sabuni au perfume ukeni huwafanya hao bacteria kuzariana na kuzidi wale heath bacteria kwasababu uke mara nyingi huwa ni acidic ambapo wale normal bacteria wanazaliana na kuishi sasa mkuu ikitokea mwanamke kazamisha soap,perfume, mafuta, madawa,cream ukeni zinabadilisha mazingila na kuua wale normal floral na kuasababisha unhealth bacteria kukua .inawezekana ikwawa soap,perfume,mafuta,madawa,cre am unapopaka kwenye k, uchafu, fungus au bacteria infection. cha msingi ni kuwa msafi , kama hali hiyo imeshatokea ukadhibitisha ni bacteria dawa zake mara nyingi huwa ni metrandazole(flagyl) 400mg baada ya masaa 8 kwa siku tano au saba au clindamycin.
 

Hayo matangazo, hapa JF, mnalipia?
J
 
Na hivi dada zetu wanapenda kufuga kucha wamekuwa wazembe sana kuingiza kidole cha kati...... But usafi ni wa kuzingatiwa maumivu yakizid muone dr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…