ujue nini my dia tausi nimekuja kunotice wadada wengi wana tatizo la k ni kweli lakini madaktari wengi ni wa kiume eti oooh sabuni hii ni nzuri mara ingiza vidole kila asubuhi kutoa uchafu theory hii theory ile.
mimi sikubali cha kuingiza kidole,wala sabuni maana down naturally panajisafisha penyewe
wadada wawe wasafi, nguo za ndani. jinsi ya kujisafisha ,na vyoo wanavotumia
imagine sehemu kama mzalendo pub choo cha kukaa,unakuta wadada wenye k za kila aina pale za kicongo wapi wapi wanenguaji,wauza k na wewe unaenda unaweka mk k wako pale ,kwa nini usipate maambukizi
kuna wadada vyoo vyote vya mjini hapa wanaweka kk zao
mimi nipo selective sana na vyoo na k yangu inakuwa safi salama na tamu