Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Nendeni hospital mkapime wote sehem zenu za siri inawezekana anatatizo la fangasi aina ya candidas, daktari atawashauri kitabibu msiruhusu mawazo potofu ya kwamba mkeo anagawa sana nje ya ndoa
Sio mkewe, ni demu wake.
 
Daaahh ht me hicho kitu nimekihis jana tu.afu papuchi yke imetanuka nahc kbs sio km mwanzo ilikuw inabana daahh ss hapa kuuliza atakataa mtagombana cjui nifanyeje.
Ni mke au mpenzi tu wa kawaida?
 
Siku hizi nahisi Jf kuna machizi wanaingia humu sipati picha aisee pole sana kwa ushauri unaopata
 
Ahahahahahahahahahahahaha!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Awe anajisafisha vizuri kabla ya kuja kwako... baada ya kufanywa huko anapotoka... Kuna wanawake wengine baada ya kufanywa utasikia naenda kuoga nyumbani... anavaa hivyo hivyo na kuondoka...
 
Awe anajisafisha vizuri kabla ya kuja kwako... baada ya kufanywa huko anapotoka... Kuna wanawake wengine baada ya kufanywa utasikia naenda kuoga nyumbani... anavaa hivyo hivyo na kuondoka...
Hii imekuwa kama fashion siku hizi......mda wote mnakula vyombo katulia ila mkimaliza tu anajifanya ana haraka
 
Awe anajisafisha vizuri kabla ya kuja kwako... baada ya kufanywa huko anapotoka... Kuna wanawake wengine baada ya kufanywa utasikia naenda kuoga nyumbani... anavaa hivyo hivyo na kuondoka...
Wanaogopa maji baridi,kuloa nywele maji,kurudi nyumbani bila harufu ya marashi aliyotoka nao nyumbani.Hawaogopi kutembea na janaba mwilini
 
Wanaogopa maji baridi,kuloa nywele maji,kurudi nyumbani bila harufu ya marashi aliyotoka nao nyumbani.Hawaogopi kutembea na janaba mwilini
Nini maana ya wao kubeba mikoba mikubwa... wabebe hivyo vyote...
 
Labda harufu ya papuchi yake naturally ina smell ya condom jaribu kufanya uchunguzi huwezi jua.
 
Habarini wakuu popote mlipo,

Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.

Twende kwenye mada sasa, ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.

Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwakweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa huu wa dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.

Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot.Nikamuuliza baby vipi mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.

Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mimi nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwasababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.

Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mke wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mimi niweze kufurahia tunda lake vizuri.

Natanguliza shukrani.
 
Habarini wakuu popote mlipo.
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa,
Ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwakweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa hii dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot.
Nikamuuliza baby vp mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mm nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwa sababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mkr wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mm niweze kufurahia tunda lake vizuri.
Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom