Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Wewe umeijuaje hiyo harufu ya condom kama hamjawahi kutumia na mkeo?ukipata jibu tafakari
nadhani huwa anatumia kwa wengine maana anasema "hatujawahi" kwahiyo kama huwa unatumia kwingine basi na yeye huwa anatumia akiwa huko kwingine. KWA JUMLA, wadada jamani punguzeni kudanganya katika mapenzi jamani duh! siku hizi mmezidi. wapo wanaume wakware wanatuivia hata watu 20. jifunzeni kukataa bwana.
 
Atakua anatumia condom haiwezekani harufu ya condom ikapatikana humo kama condom haikuwahi kufanya matembezi humo
 
Nendeni hospital mkapime wote sehem zenu za siri inawezekana anatatizo la fangasi aina ya candidas, daktari atawashauri kitabibu msiruhusu mawazo potofu ya kwamba mkeo anagawa sana nje ya ndoa
 
Mwambie akisha gongwa na vidume wake awe anaoga na kusugua huko chini, la sivyo utamshtukia.
 
Salama wakuu. Mda mwingine dem wangu anatoa harufu kali kama ya condom ukeni. Hatujawah kuitumia condom. Je ni Ugonjwa? Nisaidieni nakosa raha
Daaahh ht me hicho kitu nimekihis jana tu.afu papuchi yke imetanuka nahc kbs sio km mwanzo ilikuw inabana daahh ss hapa kuuliza atakataa mtagombana cjui nifanyeje.
 
Fursa ya kutajirika tayari mpeleke PSI waka'harvest hiyo flavour inahitajika sana km ingredient ktk production ya latex zingine.
 
Wengi kujisafisha hua tabu,unaweza kumuona Mdada amependeza subiri Akupitie karibu unajiuliza huyo mtu wake ana stahmili vipi huko Ikulu....
Mpendwa,kitendo cha kupishana tu njiani wawezaje kuskia hadi harufu ya ikulu?nimewaza tu.
 
Unaogopa hiyo arufu mbaya lakini hauogopi ukweli?!embuu jitathimini tena.
 
Back
Top Bottom