chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Ukiona unyoya jua kaliwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama wakuu. Mda mwingine dem wangu anatoa harufu kali kama ya condom ukeni. Hatujawah kuitumia condom. Je ni Ugonjwa? Nisaidieni nakosa raha
nadhani huwa anatumia kwa wengine maana anasema "hatujawahi" kwahiyo kama huwa unatumia kwingine basi na yeye huwa anatumia akiwa huko kwingine. KWA JUMLA, wadada jamani punguzeni kudanganya katika mapenzi jamani duh! siku hizi mmezidi. wapo wanaume wakware wanatuivia hata watu 20. jifunzeni kukataa bwana.Wewe umeijuaje hiyo harufu ya condom kama hamjawahi kutumia na mkeo?ukipata jibu tafakari
Hivi hiyo research umejifunzia wapi mkuu?Uyo katoka kumegwa malizia na utafiti uhuu mweke chuma mboga Kisha fanya kama una nyanyua Tako moja akijamba kupitia mbele ujue Katona kutiwa tu
paka chongo kwani huko kujamba kwa mbele kunasababishwa na nini?Uyo katoka kumegwa malizia na utafiti uhuu mweke chuma mboga Kisha fanya kama una nyanyua Tako moja akijamba kupitia mbele ujue Katona kutiwa tu
Kupampiwa huko alikotoka kutumia ndompaka chongo kwani huko kujamba kwa mbele kunasababishwa na nini?
(kupampiwa)....!?Kupampiwa huko alikotoka kutumia ndom
Mhhh sidhani kama ni jibu sahihi ina maana kama mhusika ndio angekuwa ametoka kuskruu angefanyiwa hivyo huyo mwanamke asingejamba?Kupampiwa huko alikotoka kutumia ndom
Daaahh ht me hicho kitu nimekihis jana tu.afu papuchi yke imetanuka nahc kbs sio km mwanzo ilikuw inabana daahh ss hapa kuuliza atakataa mtagombana cjui nifanyeje.Salama wakuu. Mda mwingine dem wangu anatoa harufu kali kama ya condom ukeni. Hatujawah kuitumia condom. Je ni Ugonjwa? Nisaidieni nakosa raha
Mpendwa,kitendo cha kupishana tu njiani wawezaje kuskia hadi harufu ya ikulu?nimewaza tu.Wengi kujisafisha hua tabu,unaweza kumuona Mdada amependeza subiri Akupitie karibu unajiuliza huyo mtu wake ana stahmili vipi huko Ikulu....
Mkuu usiombe ukutane na watu wa aina hiyo,utasema kumekufa panya...Mpendwa,kitendo cha kupishana tu njiani wawezaje kuskia hadi harufu ya ikulu?nimewaza tu.
Nadhani huo utakuwa ni ugonjwa,tuombe mola atunusuru na hayo.Mkuu usiombe ukutane na watu wa aina hiyo,utasema kumekufa panya...