Hili jibu nimelipendamku
mkuu vumilia tu maana hautapata isiyokuwa na harufu kila sehemu iliyowazi kwa binadamu ina harufu kuanzia mdomo, pua, maskio, makwapa nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jibu nimelipendamku
mkuu vumilia tu maana hautapata isiyokuwa na harufu kila sehemu iliyowazi kwa binadamu ina harufu kuanzia mdomo, pua, maskio, makwapa nk
Ubongo ukikosa hewa dakika ngapi vile mtu hufa??Muwe mnasema wajisafishe au watibiwe,msije mkafia ukeni kwa kukosa hewa safi
daah we umezidi sasa getegeteShahawa zikichanganya za wanaume mbalimbali lazima zichache kila mtu na chakula chake
Kiukweli yamke wangu sijawahi ikuta na harufu hata siku moja...sijui anatumia njia gani kuwa msafi kiasi kileHivi basically kuna vagina ambayo haina harufu completely?? Mm nadhani isipotoa harufu basi hiyo sio K bali ni utumbo!Let it smell for its own good.
basi pole sana yani chupi serasini hahaaaaa+ usitumie sabuni kuoshea sehemu za siri osha kwa maji ya kawaida
+ hatuoshi uke juu juu, hapana ingiza kidole ndani ya uke huku ukitumia maji kuosha..
Fanya ivo zaidi ya mara tano
+ badili chupi kila baada ya masaa 4,hasa ukitoka maliwatoni,
( wenzako huwa tunabeba chupi kwenye bagi, mafuta, na manukato unavyoingia huko badilisha hukohuko) usibebe pochi kama urembo ,,,, badilika
+ usijipulizie pafyum ukeni au mapajani ( hii ni sababu kunuka kwa sehemu za siri)
+ fua chupi, fua chupi , fua chupi vizuri, hasa katikati, pembeni mwa paja, riboni ya kiuno na chup yote kwa ujumla , suuza kwa maji safi anika juani.
( baada ya kukauka pasi chupi)
+ epuka kuvaa nguo za ndani zikiwa mbichi, unyevuunyevu, kuanzia chupi mpaka taiti. Vaa nguo zilizokauka
+ epuka kurudiarudia chupi
Ushauri: wenzio huwa tunachupi zaidi ya 30 na huwa hazijirudii rudii
Sema bwana unaona haya ya nn?jaman mshipa mi naona haya bhana
Atakuwa anaosha na ndimuKiukweli yamke wangu sijawahi ikuta na harufu hata siku moja...sijui anatumia njia gani kuwa msafi kiasi kile
unajifanya hujui?hahaaaaaa ferry mwanafunziHaahahhaha nilkuwa najiuliza why wanaume wanalalamika sana kumbe shombo lake la haja sana
Chupi 5 ndogo bn more than 30 hahahabasi pole sana yani chupi serasini hahaaaaa
bora weye umepitia hayo makitu na ukajitibu watu tufuate ushauli wako.Bacteria vaginosis ndio sababu kubwa ya shombo la samaki. Ukimeza secnidazole 2gm kwa mkupuo kwisha habari yake.
Hayo makitu nakutana nayo kila siku[emoji3]bora weye umepitia hayo makitu na ukajitibu watu tufuate ushauli wako.
basi pole anti ila tafuta kinga ili yasiwe yanajirudiaHayo makitu nakutana nayo kila siku[emoji3]
Mm namshukuru Mungu hili halijanikumba ila nafahamu ni tatizo sana kwa wanawake wengi ila linatibika ukipata tiba sahihi na kuzingatia usafi.basi pole anti ila tafuta kinga ili yasiwe yanajirudia
basi anti yangu nimekuelewa sasa.Mm namshukuru Mungu hili halijanikumba ila nafahamu ni tatizo sana kwa wanawake wengi ila linatibika ukipata tiba sahihi na kuzingatia usafi.
Mna roho ngumu wallahMamaaaaaaaa demis umejuaje?? Hatari nasisi wazama tumvini si tuna hali mbaya sana
Wanaume mnayawezaHahaha ila harufu nyingine zinafanya dyudyu isimame sana
umenifulahisha jinsi ulivyo na mauzoefu ya kuchanganya mashahawaMna roho ngumu wallah
Naona unapenda kweli ligi na mm sitoi kikiumenifulahisha jinsi ulivyo na mauzoefu ya kuchanganya mashahawa