Ndugu zangu Naomba nishee jambo na nyie kidogo labda mnaweza nisaidia hata kimawazo
Kuna mwanamke nampenda Sana japo si mke wangu wa ndoa lkn ana shida ya kunuka K japo ni mzuri Yuko na shepu nzuri ana sura nzuri kiufupi amebarikiwa kwakwel lkn shida yake ni mchafu wa kunuka K
Leo asubuhi tumeamka tuka nyegezana weee nika muingiza kidole Kwenye K ile kutoa kidole nikaona kimejaa uchafu kama malenge lenge hivi yale meupe halafu na K ikawa inatoa harufu kwa kwel hata mood ilikata ghafla
Na week Moja nyuma nilikua naumwa Sana nikasema ngoja nikapimwe basi nikapimwa Kila kitu wakakuta hakuna ninacho umwa zaidi ya mkojo mchafu nikajiuliza nimeanza lini kuumwa magonjwa ya hivi Mimi basi nikaendelea kufanya research zangu nikaona ni huyu mwanamke kutokana hasafishi K basi ndo tatizo lilipo anzia hapo
Sasa wadau nawaza namna ya kumueleza naona ngumu nifanyeje na kumpenda Bado nampenda na ninataka niishi nae kama mke wangu wa pembeni.
Nisaidieni jaman hata kimawazo aisee nachoka