Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli anajua unampenda na anaona kwa vitendo halitakuwa tatizo jinsi ya kumwambia.....!
Nitaanzaje Mkuu?
Sidhani kama kuna mtu anaweza kukushauri namna nzuri ya kumweleza kwakuwa wewe ndio inamfahamu zaidi yetu sisi.labda tukushauri Dawa.MWAMBIE AOSHEE MAJI YALIOOSHEA MCHELE KWA MUDA WA WIKI MOJA MFULULIZO.
Dah nilishawahi kushangaa sana hii kitu halafu nilikua sijui maana yake kumbi inaondoa harufu huko,
Niliwahi kukutana nayo sehemu moja mdada alikua anapenda kuoga maji yaliooshewa mchele au yale yanayopatikana ktk sufuria la ugali almarufu kama maji ya ukoko.
mwambie hivii...beib leo vipi huku chini mbona hali si shwari??..... sifanye ndo umeisikia kwa siku hiyo na kuendelea then umshauri mwende hospitali
Hyo ni nzuri wengi hutumia kuogea hasa maji ya ukoko hutoki harufu hata chembe kuanzia ya kikwapa hadi down stairs.