Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Nimeona niirudie hii mada. sababu ni nyingi ila kubwa ni hizo mbli. Candida nimeongezea tu.

Fangasi wa candida
Hawa husababisha muwasho ukeni na kutokwa na ute mzito mweupe, ugonjwa huu unaweza mpata mwanamke yeyote ila zaidi ni wale wafanyao ngono. Kwa kawaida ute huu huwa haunuki. Pia unaweza hisi papuchi inawaka moto nakusikia maumivu wakati wa kugegedwa. Inasemekana kati ya wanawake 100 , 75 kati yao hupata ugonjwa huu maishani mwao.

Kutibu candida nirahisi sana , kuna dawa za kupaka kama clotrimazole cream, na pia kuna vidonge vya clotrimazole vya kuweka ukeni. Pia kuna vidonge vya fluconazole.

Unaweza kupaka clotrimazole au kutumia vidonge kwa siku7-14 kulingana na uzito wa ugonjwa pia unaweza kunywa kidonge kimoja cha fluconazole 150mg au vidonge vitatu (kimoja kila baada ya siku tatu) kulingana na hali

Trichomonas vaginalis
Kati ya wanawake mia kumi wanao hawa wadudu. Wanasababisha papuchi kuwasha, maumivu wakati wa kukojoa na kutokwa na maji ya rangi ya mchanganyiko wa kijani na njano ambayo hunuka vibaya.

Kutibu ni rahisi sana! Metronidazole (frajili) ambayo huwa na 200mg unameza 2g (unameza vidonge 10 kwa pamoja). Au vidonge viwili na nusu asubuhi na viwili na nusu jioni kwa siku saba. Pia unaweza tumia dawa ya tinidazole.

Bacterial vaginosis
Unatoa majimaji meupe yenye harufu ya samaki. Unapiga metronidazole200mg (frajili)vidonge viwili na nusu asubuhi na viwili na nusu jioni kwa siku saba.

Ngoja waje
 
Nimeona niirudie hii mada. sababu ni nyingi ila kubwa ni hizo mbli. Candida nimeongezea tu.

Fangasi wa candida
Hawa husababisha muwasho ukeni na kutokwa na ute mzito mweupe, ugonjwa huu unaweza mpata mwanamke yeyote ila zaidi ni wale wafanyao ngono. Kwa kawaida ute huu huwa haunuki. Pia unaweza hisi papuchi inawaka moto nakusikia maumivu wakati wa kugegedwa. Inasemekana kati ya wanawake 100 , 75 kati yao hupata ugonjwa huu maishani mwao.

Kutibu candida nirahisi sana , kuna dawa za kupaka kama clotrimazole cream, na pia kuna vidonge vya clotrimazole vya kuweka ukeni. Pia kuna vidonge vya fluconazole.

Unaweza kupaka clotrimazole au kutumia vidonge kwa siku7-14 kulingana na uzito wa ugonjwa pia unaweza kunywa kidonge kimoja cha fluconazole 150mg au vidonge vitatu (kimoja kila baada ya siku tatu) kulingana na hali

Trichomonas vaginalis
Kati ya wanawake mia kumi wanao hawa wadudu. Wanasababisha papuchi kuwasha, maumivu wakati wa kukojoa na kutokwa na maji ya rangi ya mchanganyiko wa kijani na njano ambayo hunuka vibaya.

Kutibu ni rahisi sana! Metronidazole (frajili) ambayo huwa na 200mg unameza 2g (unameza vidonge 10 kwa pamoja). Au vidonge viwili na nusu asubuhi na viwili na nusu jioni kwa siku saba. Pia unaweza tumia dawa ya tinidazole.

Bacterial vaginosis
Unatoa majimaji meupe yenye harufu ya samaki. Unapiga metronidazole200mg (frajili)vidonge viwili na nusu asubuhi na viwili na nusu jioni kwa siku saba.
Metronidazole (Flagyl) vidonge 10 kwa wakati mmoja, seriously??? Guyz kuweni makini una Tatizo nenda Hospitali fata ushauri wa Daktari acheni habari za kujitibu kama huna utalaamu, ni hatari sana.
Na iman mtoa maada huna utalaamu wowote na masuala ya afya.
 
Metronidazole (Flagyl) vidonge 10 kwa wakati mmoja, seriously??? Guyz kuweni makini una Tatizo nenda Hospitali fata ushauri wa Daktari acheni habari za kujitibu kama huna utalaamu, ni hatari sana.
Na iman mtoa maada huna utalaamu wowote na masuala ya afya.
mtu anaweza kunywa hata ishirini vya 200mg. idadi isikutishe.
 
Tatizo la fangas nazan linaweza kuwa kias flan hata usafi unachangia hao kuumwa hayo magonjwa yao
 
Wasalaam

Wanabodi naomba nieleweke sina nia ya kushambulia au kudhalilisha ila kutaka wasaidiwe.

Ilikuwa hivi... wakati ule ujana umechemka, nilimtongoza japo alisumbua kutokana na uzuri wa umbo lake baadae alinipa chance, kiukweli I was not in love with her ilikuwa nipige nisepe so ule usumbufu wake ulinifanya nisimhesabu tena kwa hiyo hata alipojilengesha Sikuwa na mzuka nae.

Nilimwingiza chumbani.. bila yeye kuchelewa akanivamia kwa kiss mfululizo... akili yangu haikuwepo pale so sikushoboka nikaishia kumchezea... the worst part ni pale nilipomshika ukeni dah... ilikuja harufu mbaya ambayo sina kumbukumbu kuihisi kwingine. (niliendelea kuhisi harufu ile mkononi kwa week kadhaa)

She had very bad odor nilikuwa karibu nitapike.. nikajikaza nikazuga kiaina then nikamwambia avae tuondoke... kwanza akagoma nakutaka kulazimisha but nikamshawishi akanielewa.... baada ya mwaka mmoja hivi nilipata kazi sehemu nyingine... staff mate akatangaza ndoa tukashiriki.. siku ya ndoa nakuta ni yule dada...! Nikabaki najiuliza jamaa amewezaje?

Sasa ombi langu... maana wakati ule sikupata muda au uwezo wa kuuliza.. nini sababu ya harufu mbaya ukeni na nini tiba yake?

Majibu yako yatawasaidia wengi.

Nawakilisha.
 
Back
Top Bottom