Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Wasalaam

Wanabodi naomba nieleweke sina nia ya kushambulia au kudhalilisha ila kutaka wasaidiwe.

Ilikuwa hivi... wakati ule ujana umechemka, nilimtongoza japo alisumbua kutokana na uzuri wa umbo lake baadae alinipa chance, kiukweli I was not in love with her ilikuwa nipige nisepe so ule usumbufu wake ulinifanya nisimhesabu tena kwa hiyo hata alipojilengesha Sikuwa na mzuka nae.

Nilimwingiza chumbani.. bila yeye kuchelewa akanivamia kwa kiss mfululizo... akili yangu haikuwepo pale so sikushoboka nikaishia kumchezea... the worst part ni pale nilipomshika ukeni dah... ilikuja harufu mbaya ambayo sina kumbukumbu kuihisi kwingine. (niliendelea kuhisi harufu ile mkononi kwa week kadhaa)

She had very bad odor nilikuwa karibu nitapike.. nikajikaza nikazuga kiaina then nikamwambia avae tuondoke... kwanza akagoma nakutaka kulazimisha but nikamshawishi akanielewa.... baada ya mwaka mmoja hivi nilipata kazi sehemu nyingine... staff mate akatangaza ndoa tukashiriki.. siku ya ndoa nakuta ni yule dada...! Nikabaki najiuliza jamaa amewezaje?

Sasa ombi langu... maana wakati ule sikupata muda au uwezo wa kuuliza.. nini sababu ya harufu mbaya ukeni na nini tiba yake?

Majibu yako yatawasaidia wengi.

Nawakilisha.
________________
supra
 
Unaanzaje kuuliza?
ULIKATAA KWENDA VITANI, SASA WENZAKO WAMERUDI NA USHINDI UNATAKA KUJUA WALITUMIA MBINU GANI MPAKA WAKASHINDA????
Anyway, Jibu zuri zaidi angekupa huyo staff mate wako aliyeoa
 
ilikua haijatumika muda mrefu sana.rungu huwa zinasafisha papuchi .ungepiga Mara mbili tu siku nyingine angekuja harufu hakuna haha
 
wengine magonjwa kama fungus na mengine ya zinaa... kutojiweka safi .. huwa yanatibika
 
Atakua alikuwa anafanya kazi ferry maana harufu ya pale ni shida.
 
Huu ni udhalilishaji wa wanaume wa jf, hivi hao wanawake zenu wamewakosea nini mpaka kila Siku ni thread za kuwasimulia mabaya yao? Sasa kwa taarifa yako kama Huyo mwanamke unayempondea hapa kuwa anananuka na mama yako yupo hivyo hivyo,ni bora sasa mkawauliza baba zenu wamewezaje mpaka mkazaliwa nyie! Hebu muwe na heshima kwa wanawake . ITOSHE SASA.
 
Punguza hasira...hili ni jukwaa huru na ndio maana mwanzo nimeomba kueleweka kuwa sina nia ya kudharirisha... majibu ya wadau yanaweza kukusaidia hata wewe kama una experience the same situation! Kutukana ni kuonyesha uvivu wa kifikiri.
Huu ni udhalilishaji wa wanaume wa jf, hivi hao wanawake zenu wamewakosea nini mpaka kila Siku ni thread za kuwasimulia mabaya yao? Sasa kwa taarifa yako kama Huyo mwanamke unayempondea hapa kuwa anananuka na mama yako yupo hivyo hivyo,ni bora sasa mkawauliza baba zenu wamewezaje mpaka mkazaliwa nyie! Hebu muwe na heshima kwa wanawake . ITOSHE SASA.
 
Punguza hasira...hili ni jukwaa huru na ndio maana mwanzo nimeomba kueleweka kuwa sina nia ya kudharirisha... majibu ya wadau yanaweza kukusaidia hata wewe kama una experience the same situation! Kutukana ni kuonyesha uvivu wa kifikiri.
Hajatukana ujumbe wake mkubwa hapo n wanaume kuwauliza baba zao wamewezaje kuish na na mama zenu mana nyie kila siku malalamiko ulizen mpate mwongozo
 
Hakuna mahali nilipo lalamika ila nimecheza na fasihi andishi kuvuta hadhira kisha kutoa ujumbe..soma aya ya pili toka mwisho... kisha toa jibu tafadhali.
Hajatukana ujumbe wake mkubwa hapo n wanaume kuwauliza baba zao wamewezaje kuish na na mama zenu mana nyie kila siku malalamiko ulizen mpate mwongozo
 
SABABU NA JINSI YA KUZUIA UKE KUTOA
HARUFU MBAYA.[emoji26][emoji160][emoji160][emoji17]



[emoji160][emoji160]Tatizo la uke kutoa harufu mbaya ni tatizo
linalowasumbua wanawake wengi.


[emoji160][emoji160]Zifuatazo ni sababu na jinsi ya kuzuia tatizo
hilo


[emoji160][emoji160]1.BACTERIA VAGNOSIS.

Hili ndio tatizo ma 1,linalosababisha uke kutoa
harufu mbaya,Inawezekana ukawa msafi mpaka
mwisho lakini ukisumbuliwa na tatizo hili basi
lazima uke wako utatoa harufu mbaya.Kila uke
una Bacteria ambao wapo naturally kwa ajili ya
afya njema ya uke wako lakini kama ikitokea
hawa bacteria wakazidi na kuwa wengi kupita
kiasi ambacho uke wako unaweza kuhimili ndio
hapo hiki kitendo kinaitwa BACTERIA
VAGINOSIS.


[emoji160][emoji160][emoji654]Sababu zinazosababisha Bacteria Vaginoais
hazijulikani kwa usahihi lakini madaktari
wanasema inaweza ikasababishwa na kitendo
cha kufanya mapenzi bila kondom especially
kama vitu vilivyoingia kwenye uke wako wakati
wa kufanya mapenzi vilikuwa vichafu ( vitu kama
vidole au mashine ya mwanaume au mara
nyingine inatokea naturally bila sababu.


[emoji160][emoji160][emoji654]DALILI ZA BACTERIA VAGNOSIS.
*Uke kutoa majimaji mazito ( ute ute ) ama
mepesi yenye rangi ya njano au brown yenye
harufu mbaya.


*Maumivu kwenye maeneo ya kiuno au nyonga.

* Uke unaweza ukawa unawasha.

[emoji160][emoji654]2.MAGONJWA YA ZINAA.
Kuna baadhi ya magonjwa ya zinaa
yanayosababishwa na ufanyaji wa mapenzi bila
kutumia kondom,kama kaswende na
kisonono,ukiyapata huwa yanasababisha uke
kutoa harufu mbaya kwa sababu dalili zake
zinahusiana na kutokwa na maji yenye harufu
mbaya.

[emoji160][emoji654][emoji17]3.UCHAFU.

Inawezekana pia tatizo la uke kutoa harufu
mbaya linasababishwa na uchafu,labda unaoga
mara moja tu kwa siku au siku nyingine hata
hauogi.Au hauna mazoea ya kufua nguo zako za
ndani na ikitokea siku umezifua basi hata
hauzisugui zikawa safi.


[emoji160][emoji654]4.YEAST INFECTION.
Hili pia ni tatizo,lipo kama la Bacteria Vagnosis
tofauti yake ni kuwa kwenye Bacteria Vagnosis
waliokuwa wamezidi ni Bacteria lakini huku
wanaozidi ni Fungus Candida Albicana.

*Ni wanawake wachache huwa wanapata
Bacteria Vagnosis lakini wanawake wengi lazima
wapate Yeast Infection japo mara moja katika
maisha yao.

[emoji654]*Mara nyingi Yeast Infection hutokea naturally au
inaweza kusababishwa na aina ya vyakula au
vinywaji unavyokula au kunywa especially kama
vimejaa Yeast. ( vyakula vyote vinavyotengenez
wa na hamira,pombe.n.k)


[emoji654][emoji654]DALILI ZAKE.


*Uke kuwasha
*Maumivu kama uke
unaungua pale unapokuwa
unajisaidia haja ndogo.
*Uke kutoa majimaji mazito (ute ute) yenye
rangi nyeupe kama jibini.


[emoji654][emoji654][emoji654][emoji17]MAMBO YA KUFANYA ILI KUZUIA UKE USITOE
HARUFU MBAYA.


[emoji160][emoji654]1.OSHA UKE WAKO KWA MAJI SAFI KILA
UNAPOMALIZA KUJISAIDIA HAJA NDOGO.

Asilimia kubwa ya wanawake hawana mazoea na
utaratibu huu.Ni utaratibu muhimu katika maisha
ya kila siku ya mwanamke,unapokuwa unajisaidia
haja ndogo lazima utakuwa umechuchumaa,haja
ndogo yako imapokuwa inatoka lazima kutakuwa
na mabaki kidogo yatarukia na kubakia lips za nje
au za ndani za uke wako.Hayo mabaki baada ya
muda yatachanganyika na jasho ma kutengeneza
harufu mbaya hivyo ni vizuri kuosha uke wako
kwa maji safi kila unapomaliza kujisaidia haja
ndogo.


[emoji654][emoji160]2.UKIWA UNAOSHA UKE WAKO,TUMIA MTINDO
WA KUPELEKA MKONO KUTOKA MBELE KURUDI
NYUMA.

Kuna baadhi ya wanawake tayari wameshazoea
kusafisha sehemu zao za siri kwa kupeleka
mkono kutoka nyuma kuja mbele.Hui mtindo sio
mzuri kiafya kwa kuwa huko nyuma kuna sehemu
ya haja kubwa,kumejaa uchafu na bacteria
wengi,sasa wakati unajisafisha unapopeleka
mkono nyuma unazoa uchafu na ukauleta mkono
mbele unaacha hao bacteria na uchafu kwenye
uke wako.Na huo ndio mwanzo wa uke wako
kutoa harufu mbaya na kupata infections za
ajabu ajabu.
*ukitaka kuwa salama,haijalishi kuwa umemaliza
kujisaidia haja kubwa,au ndogo au wakati
unaoga,ukitaka kusafisha sehemu zako za
siri,tumia mtindo wa kupeleka mkono mbele
kurudi nyums ili usije kuwaleta bacteria na
uchafu wa nyuma,mbele kwenye uke wako.


[emoji654][emoji654]3.VAA NGUO ZA NDANI ZENYE ASILI YA
PAMBA.


Pamba ina uwezo wa kupitisha hewa hata kama
ni kidogo sana,na sehemu za siri za mwanamke
inahitaji flow ya hewa inayopita,nyingine iwe
inaingia na nyingine iwe inatoka.Hii flow ya hewa
hata kama ni ndogo itasaidia kufanya sehemu
zako zs siri kuwa fresh muda wote na
utapunguza uwezekano wa uke wako kutoa
harufu mbaya.Na pia punguza kuvaa nguo za
kubana sana muda wote,nguo za kubana
zinasababisha majasho sehemu za siri na
ukizingatia hamna flow ya hewa kwenye sehemu
zako za siri basi lazima hayo majasho yataanza
kutoa harufu mbaya.

[emoji654][emoji160]4.USIVAE NGUO YA NDANI MOJA SIKU NZIMA.
Kwa jinsi maumbile ya mwanamke
yalivyo,umatakiwa kubadili nguo ya ndani mara
mbili au tatu kwa siku.Unapotoka nyumbani
kuelekea kazini,chuo,kwenye biashara zakp n.k
hakikisha unatoka na nguo ya ndani ya pili
ambayo unatakiwa uiweke ndani ya mkoba au
kipima joto chako.
Labda ulivaa nguo ya ndani asubuhi ulipokuwa
unatoka nyumbani,ikifika ( saa 8 au 9 ) ingia
bafuni au chooni,vua nguo yako ya ndani,kisha
unaweza ukaoga mwili mzima au ukassfisha
sehemu zako za siri tu,Nguo
Ukimaliza hapo chukua nguo ya ndani safi
uliyotoka nayo nyumbani uivae,hapo sasa
unaweza kuendelea na shughuli zako kama
kawaida huku uke wako ukiwa msafi bila harufu
za ajabu ajabu.

[emoji654][emoji654]5.PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI AU
YEAST.
Unaweza kupunguza pia tatizo hili kwa kuacha au
kupunguza kula vyakula vyote vyenye sukari au
yeasy kwa wingi.Vyakula hivyo ni kama vile
vinavyotengenezwa na hamira,pombe
nk.ukizidisha vyakula au vinywaji hivi ina maana
utakuwa unazidisha yeast mwilini na wakizidi
kwenye uke utapata YEAST INFECTION,mwisho
wake uke wako utaanza kutoa harufu mbaya.


[emoji654][emoji654][emoji160]6.BADILI PAD'S ZAKO MARA KWA MARA UWAPO
KWENYE HEDHI.
Ili kuzuia uke wako usitoe harufu mbaya kipindi
ambacho upo kwenye siku zako,inashauriwa
kubadili pad mara kwa mara (kila baada ya
masaa 4 au 8 ).kubadili pad's mara kwa mara
kunasaidia ujisikie upo confortable,inazuia
bacteria kujikisanya,inasaidia kupunguza
uwezekano wa kupata infection na mwisho
inaondoa uwezekano wa uke wako kutoa harufu
mbaya.


[emoji654][emoji654]7.NYOA NYWELE ZAKO ZA SEHEMU ZA SIRI
MARA KWA MARA.
Nywele zako za sehemu za siri zinapokuwa
ndefu,unakuwa umetengeza maficho ya kila aina
ya uchafu kuanzia jasho,majimaji yatakayokuwa
yanakutoka ukeni ukipata hamu ya kupewa raha
na utamu,mabaki ya haja ndogo nk.
*ili kujiepusha na yote hayo ni heri ukawa
unazikata nywele zako za sehemu za siri mara
kwa mara ili uke wako msafi muda wote.
 
Hakuna mahali nilipo lalamika ila nimecheza na fasihi andishi kuvuta hadhira kisha kutoa ujumbe..soma aya ya pili toka mwisho... kisha toa jibu tafadhali.
Mtu pekee atayekupa jibu la uhakika ni baba yako, muulize amewezaje kuishi na uke unaotoa harufu wa mama yako kwa miaka yote hiyo hadi ukazaliwa wewe
 
Back
Top Bottom