Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

mama kuna wengine wananuka k sana mpaka kero..nimeshawahi kukutana na hio hali yaani harufu ni mbaya kuliko harufu ya choo,ila wengine wapo vzr tuu but nadhan usafi unahusu,wengine wanavaa chupi siku 3 unategemea nini hapo
Unaifahamu harufu ya K?
Ikoje?
 
Jaman ndo wake zetu wadogo zetu dada zetu tuwasaidie take her to the Medical Officer ataelzea yote yanayomsibu atapatiwa tiba No
 
Dah umenikumbusha siku nilipataka kitoto fresh from 4m4 miaka ile. Nkakileta geti. Yan kukivua tu chumba changu kikawa na hrufu mbya.
 
Hali yangu ya mahusiano ni njema na yana Afya tele ,yanayonisibu ni mengi ila sio ya udhalilishaji kiasi cha kuona wanawake ndio sehemu ya matusi yenu,mwanamke asipokua mama yako basi aweza kuwa mpenzi wako,Dada yako, shangazi yako au hata rafiki yako! Sasa ikiwa kila anayekuja anakuja na neno kunuka jua humdharirishi yeye tu bali umewatusi hata hao ndugu zako!
LadyAJ kwani hujawahi sikia kuhusu fistula na dalili zinazoambatana nazo...je wanapozitaja huwa anadhalilishwa mwanamke? Mimi sioni wala kuhisi kuwa mtoa mada anawadhalilisha wanawake, yawezekana ana mwanamke anataka amsaidie juu ya tatizo hilo!!! Mbona wapo wanawake wanaosema kwamba kuna wanaume wananuka jasho na ni kweli wapo, je wanawadhalilisha? Au basi asiseme kunuka bali aseme kunukia!!! Bila shaka hiyo itakuwa imekaa sawa kwako? Kiufupi, nakuomba uondoe fikra kuwa wanaume huwadhalilisha wanawake maana ukizibeba fikra hizo utajitesa na kujiumiza! Wanawake ndiyo wake zetu, mama zetu na dada zetu pia...hali kadhalika sisi ni baba zenu, kaka zenu na waume zenu pia! Tabia ya mtu kumdhalilisha mwenzie haina jinsia...kwamba ni wanaume tu, bali mty yeyote asiyekuwa na maadili mema bila kujali jinsia huweza kumdhalilisha mwenzake!!!
Mtoa mada hajamdhalilisha mwanamke...
 
LadyAJ kwani hujawahi sikia kuhusu fistula na dalili zinazoambatana nazo...je wanapozitaja huwa anadhalilishwa mwanamke? Mimi sioni wala kuhisi kuwa mtoa mada anawadhalilisha wanawake, yawezekana ana mwanamke anataka amsaidie juu ya tatizo hilo!!! Mbona wapo wanawake wanaosema kwamba kuna wanaume wananuka jasho na ni kweli wapo, je wanawadhalilisha? Au basi asiseme kunuka bali aseme kunukia!!! Bila shaka hiyo itakuwa imekaa sawa kwako? Kiufupi, nakuomba uondoe fikra kuwa wanaume huwadhalilisha wanawake maana ukizibeba fikra hizo utajitesa na kujiumiza! Wanawake ndiyo wake zetu, mama zetu na dada zetu pia...hali kadhalika sisi ni baba zenu, kaka zenu na waume zenu pia! Tabia ya mtu kumdhalilisha mwenzie haina jinsia...kwamba ni wanaume tu, bali mty yeyote asiyekuwa na maadili mema bila kujali jinsia huweza kumdhalilisha mwenzake!!!
Mtoa mada hajamdhalilisha mwanamke...
Ni maoni yako siwezi kuyapinga, fistula ni ugonjwa wala si kashfa au kejeli, hakuna mwanaume aliyekuja humu akamtangaza mkewe kuwa ana fistula kikubwa wanaume hasa wanaume wa jf mmekosa vya kujadili vya maana ukiangalia mada za shutuma za wanaume kwenda kwa wanawake humu ndio zinaongoza hasa zenye lengo La kuwaona wanawake kama viumbe wasiofaa hata hii mada imeshajadiliwa sana na zaidi mtoa post anamjadili mke wa mwenzie na si mtu wake kama unavyojinasibu, tuwe wakweli kuna namna ya uwasilishaji wa mada wenye lengo la msaada na kuna ile ya kutaka kuonekana kama vile kwenzio ni mtu/kiumbe wa ajabu (ni tusi sana kumwambia binaadamu mwenzio ananuka hasa mwandani wako) hebu tuwe ma maneno yenye staha na kustiriana
 
Huu ni udhalilishaji wa wanaume wa jf, hivi hao wanawake zenu wamewakosea nini mpaka kila Siku ni thread za kuwasimulia mabaya yao? Sasa kwa taarifa yako kama Huyo mwanamke unayempondea hapa kuwa anananuka na mama yako yupo hivyo hivyo,ni bora sasa mkawauliza baba zenu wamewezaje mpaka mkazaliwa nyie! Hebu muwe na heshima kwa wanawake . ITOSHE SASA.
Anti muujiza swali hakutaja jina la huyo dem ila ameelezea tu mkasa ile aweze kupata ushauri kutoka kwa wana jf kujua sababu za hiyo kitu tiba yake kama ipo. Hata wewe unaweza kujifunza kitu hapa ukawasaidia wenzako siku za baadae huko hivy usizibe milango ya kujifunza kisa tu kaongelewa mwanamke ambaye hata jina lake wala sura yake hujui.
 
Tukubali tukataee na co wote wanatoa harufu ilaa ukibahatika kukutana na hyoo kituu ile yenye grade zake maana zinatofautiana viwango utajutaa unaweza kaa hata mwez ukipishana na ile jinsia pendwa unataman kutapikaa . asee ile kituu inatemaa banaaa
 
U
SABABU NA JINSI YA KUZUIA UKE KUTOA
HARUFU MBAYA.[emoji26][emoji160][emoji160][emoji17]



[emoji160][emoji160]Tatizo la uke kutoa harufu mbaya ni tatizo
linalowasumbua wanawake wengi.


[emoji160][emoji160]Zifuatazo ni sababu na jinsi ya kuzuia tatizo
hilo


[emoji160][emoji160]1.BACTERIA VAGNOSIS.

Hili ndio tatizo ma 1,linalosababisha uke kutoa
harufu mbaya,Inawezekana ukawa msafi mpaka
mwisho lakini ukisumbuliwa na tatizo hili basi
lazima uke wako utatoa harufu mbaya.Kila uke
una Bacteria ambao wapo naturally kwa ajili ya
afya njema ya uke wako lakini kama ikitokea
hawa bacteria wakazidi na kuwa wengi kupita
kiasi ambacho uke wako unaweza kuhimili ndio
hapo hiki kitendo kinaitwa BACTERIA
VAGINOSIS.


[emoji160][emoji160][emoji654]Sababu zinazosababisha Bacteria Vaginoais
hazijulikani kwa usahihi lakini madaktari
wanasema inaweza ikasababishwa na kitendo
cha kufanya mapenzi bila kondom especially
kama vitu vilivyoingia kwenye uke wako wakati
wa kufanya mapenzi vilikuwa vichafu ( vitu kama
vidole au mashine ya mwanaume au mara
nyingine inatokea naturally bila sababu.


[emoji160][emoji160][emoji654]DALILI ZA BACTERIA VAGNOSIS.
*Uke kutoa majimaji mazito ( ute ute ) ama
mepesi yenye rangi ya njano au brown yenye
harufu mbaya.


*Maumivu kwenye maeneo ya kiuno au nyonga.

* Uke unaweza ukawa unawasha.

[emoji160][emoji654]2.MAGONJWA YA ZINAA.
Kuna baadhi ya magonjwa ya zinaa
yanayosababishwa na ufanyaji wa mapenzi bila
kutumia kondom,kama kaswende na
kisonono,ukiyapata huwa yanasababisha uke
kutoa harufu mbaya kwa sababu dalili zake
zinahusiana na kutokwa na maji yenye harufu
mbaya.

[emoji160][emoji654][emoji17]3.UCHAFU.

Inawezekana pia tatizo la uke kutoa harufu
mbaya linasababishwa na uchafu,labda unaoga
mara moja tu kwa siku au siku nyingine hata
hauogi.Au hauna mazoea ya kufua nguo zako za
ndani na ikitokea siku umezifua basi hata
hauzisugui zikawa safi.


[emoji160][emoji654]4.YEAST INFECTION.
Hili pia ni tatizo,lipo kama la Bacteria Vagnosis
tofauti yake ni kuwa kwenye Bacteria Vagnosis
waliokuwa wamezidi ni Bacteria lakini huku
wanaozidi ni Fungus Candida Albicana.

*Ni wanawake wachache huwa wanapata
Bacteria Vagnosis lakini wanawake wengi lazima
wapate Yeast Infection japo mara moja katika
maisha yao.

[emoji654]*Mara nyingi Yeast Infection hutokea naturally au
inaweza kusababishwa na aina ya vyakula au
vinywaji unavyokula au kunywa especially kama
vimejaa Yeast. ( vyakula vyote vinavyotengenez
wa na hamira,pombe.n.k)


[emoji654][emoji654]DALILI ZAKE.


*Uke kuwasha
*Maumivu kama uke
unaungua pale unapokuwa
unajisaidia haja ndogo.
*Uke kutoa majimaji mazito (ute ute) yenye
rangi nyeupe kama jibini.


[emoji654][emoji654][emoji654][emoji17]MAMBO YA KUFANYA ILI KUZUIA UKE USITOE
HARUFU MBAYA.


[emoji160][emoji654]1.OSHA UKE WAKO KWA MAJI SAFI KILA
UNAPOMALIZA KUJISAIDIA HAJA NDOGO.

Asilimia kubwa ya wanawake hawana mazoea na
utaratibu huu.Ni utaratibu muhimu katika maisha
ya kila siku ya mwanamke,unapokuwa unajisaidia
haja ndogo lazima utakuwa umechuchumaa,haja
ndogo yako imapokuwa inatoka lazima kutakuwa
na mabaki kidogo yatarukia na kubakia lips za nje
au za ndani za uke wako.Hayo mabaki baada ya
muda yatachanganyika na jasho ma kutengeneza
harufu mbaya hivyo ni vizuri kuosha uke wako
kwa maji safi kila unapomaliza kujisaidia haja
ndogo.


[emoji654][emoji160]2.UKIWA UNAOSHA UKE WAKO,TUMIA MTINDO
WA KUPELEKA MKONO KUTOKA MBELE KURUDI
NYUMA.

Kuna baadhi ya wanawake tayari wameshazoea
kusafisha sehemu zao za siri kwa kupeleka
mkono kutoka nyuma kuja mbele.Hui mtindo sio
mzuri kiafya kwa kuwa huko nyuma kuna sehemu
ya haja kubwa,kumejaa uchafu na bacteria
wengi,sasa wakati unajisafisha unapopeleka
mkono nyuma unazoa uchafu na ukauleta mkono
mbele unaacha hao bacteria na uchafu kwenye
uke wako.Na huo ndio mwanzo wa uke wako
kutoa harufu mbaya na kupata infections za
ajabu ajabu.
*ukitaka kuwa salama,haijalishi kuwa umemaliza
kujisaidia haja kubwa,au ndogo au wakati
unaoga,ukitaka kusafisha sehemu zako za
siri,tumia mtindo wa kupeleka mkono mbele
kurudi nyums ili usije kuwaleta bacteria na
uchafu wa nyuma,mbele kwenye uke wako.


[emoji654][emoji654]3.VAA NGUO ZA NDANI ZENYE ASILI YA
PAMBA.


Pamba ina uwezo wa kupitisha hewa hata kama
ni kidogo sana,na sehemu za siri za mwanamke
inahitaji flow ya hewa inayopita,nyingine iwe
inaingia na nyingine iwe inatoka.Hii flow ya hewa
hata kama ni ndogo itasaidia kufanya sehemu
zako zs siri kuwa fresh muda wote na
utapunguza uwezekano wa uke wako kutoa
harufu mbaya.Na pia punguza kuvaa nguo za
kubana sana muda wote,nguo za kubana
zinasababisha majasho sehemu za siri na
ukizingatia hamna flow ya hewa kwenye sehemu
zako za siri basi lazima hayo majasho yataanza
kutoa harufu mbaya.

[emoji654][emoji160]4.USIVAE NGUO YA NDANI MOJA SIKU NZIMA.
Kwa jinsi maumbile ya mwanamke
yalivyo,umatakiwa kubadili nguo ya ndani mara
mbili au tatu kwa siku.Unapotoka nyumbani
kuelekea kazini,chuo,kwenye biashara zakp n.k
hakikisha unatoka na nguo ya ndani ya pili
ambayo unatakiwa uiweke ndani ya mkoba au
kipima joto chako.
Labda ulivaa nguo ya ndani asubuhi ulipokuwa
unatoka nyumbani,ikifika ( saa 8 au 9 ) ingia
bafuni au chooni,vua nguo yako ya ndani,kisha
unaweza ukaoga mwili mzima au ukassfisha
sehemu zako za siri tu,Nguo
Ukimaliza hapo chukua nguo ya ndani safi
uliyotoka nayo nyumbani uivae,hapo sasa
unaweza kuendelea na shughuli zako kama
kawaida huku uke wako ukiwa msafi bila harufu
za ajabu ajabu.

[emoji654][emoji654]5.PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI AU
YEAST.
Unaweza kupunguza pia tatizo hili kwa kuacha au
kupunguza kula vyakula vyote vyenye sukari au
yeasy kwa wingi.Vyakula hivyo ni kama vile
vinavyotengenezwa na hamira,pombe
nk.ukizidisha vyakula au vinywaji hivi ina maana
utakuwa unazidisha yeast mwilini na wakizidi
kwenye uke utapata YEAST INFECTION,mwisho
wake uke wako utaanza kutoa harufu mbaya.


[emoji654][emoji654][emoji160]6.BADILI PAD'S ZAKO MARA KWA MARA UWAPO
KWENYE HEDHI.
Ili kuzuia uke wako usitoe harufu mbaya kipindi
ambacho upo kwenye siku zako,inashauriwa
kubadili pad mara kwa mara (kila baada ya
masaa 4 au 8 ).kubadili pad's mara kwa mara
kunasaidia ujisikie upo confortable,inazuia
bacteria kujikisanya,inasaidia kupunguza
uwezekano wa kupata infection na mwisho
inaondoa uwezekano wa uke wako kutoa harufu
mbaya.


[emoji654][emoji654]7.NYOA NYWELE ZAKO ZA SEHEMU ZA SIRI
MARA KWA MARA.
Nywele zako za sehemu za siri zinapokuwa
ndefu,unakuwa umetengeza maficho ya kila aina
ya uchafu kuanzia jasho,majimaji yatakayokuwa
yanakutoka ukeni ukipata hamu ya kupewa raha
na utamu,mabaki ya haja ndogo nk.
*ili kujiepusha na yote hayo ni heri ukawa
unazikata nywele zako za sehemu za siri mara
kwa mara ili uke wako msafi muda wote.
Umefafanua vizuri
 
Anti muujiza swali hakutaja jina la huyo dem ila ameelezea tu mkasa ile aweze kupata ushauri kutoka kwa wana jf kujua sababu za hiyo kitu tiba yake kama ipo. Hata wewe unaweza kujifunza kitu hapa ukawasaidia wenzako siku za baadae huko hivy usizibe milango ya kujifunza kisa tu kaongelewa mwanamke ambaye hata jina lake wala sura yake hujui.
Usimuongelee mwanamke wa mwenzio hata Siku moja kwanza ni udhaifu mkubwa pili ni udhalilishaji wa mwanaume mwenzie na mkewe, ndo kusema huyo rafiki yake kaoa vinavyonuka? Yeye amuongelee demu wake na si huyo Dada mwenye ndoa changa yeye hamuhusu, hata akielekezwa namna ya kumtibu msaada hautomfikia huyo ex wake, jamani kuachana sio vita hadi mjenge uadui kiasi hiki cha kumnenea mwenzio mabaya,kisichokufaa wewe mwingine ni size yake
 
nabisha mpaka unieleze kivipi?
Husababisha kuongezeka kwa bacteria waliopo ukeni! Kiujumla uke una bacteria/viumbe ambao wakipungua au kuongezeka basi uke hutoa harufu...kutumia sabuni za medicated kwa kujiosha uke husababisha kuwapunguza sana na hivyo kupelekea harufu hali kadhalika na mawazo pia husababisha hawa bacteria kuongezeka ambapo pia hupelekea harufu...kijumla stress husababisha maradhi mengi, hata muathirika wa VVU huweza kuwa poa kabla ya kujijua kuwa ni muathirika ila shida akishajua...huwaza sana mpaka mwili huisha na kinga kuzidi kushuka na kupelekea kifo chake! Usikubali kitu kikuumize kichwa chako... Usiwe na huzuni, kuwa mchangamfu na mwenye furaha, hata kwenye majaribu...simama imara!!!
 
Wanajamii hii kitu inakera waweza kutanana na mdada yupo vizuri anasifa zote za mwanamke tatizo ni harufu kali unayobaki nayo mwanaume baada ya tendo waweza oga hata mara mbili lakini harufu ikabaki pale pale hadi siku tatu ndo inapotea, tatizo ni nini na mtu kama utafanyaje ili usimuache
 
Back
Top Bottom