Elewa alivyoandika mkuu, ulienda mtaroni kutafuta Nini mkuu?Ndo alivyoumbwa au ugonjwa au uchafu? Maana sielewi mdada nadhifu vile alafu mambo mbofuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa alivyoandika mkuu, ulienda mtaroni kutafuta Nini mkuu?Ndo alivyoumbwa au ugonjwa au uchafu? Maana sielewi mdada nadhifu vile alafu mambo mbofuuu!
Elewa alivyoandika mkuu, ulienda mtaroni kutafuta Nini mkuu?
Nao wajifunze usafi,makungwi wapo sio umbea tuu.Kuna wakati mwingine tuwe na staha kwa hawa wake zetu.
Ukikutana na mwenye hali hiyo mpe elimu ya kuondokana na tatizo au anzisha uzi wa kuelimisha hao wanawake namna ya kujisafisha.
Sidhani kama negativity ni suluhu ya changamoto
Sikwenda mtaroni mkuu! Nilienda njia kuu! Ndo maana nkashangaa!Elewa alivyoandika mkuu, ulienda mtaroni kutafuta Nini mkuu?
🤣 🤣 gamba langu linasema E-Electrical EngP-Mechanic Eng dronedrake
Pole sana mkuu hiyo ni ajali kazini, nakushauri achana na vitoto! Tafuta shangazi atulize kiu yako...Ila wa kupiga picha tafuta mtoto angalau picha itoke vizuriSikwenda mtaroni mkuu! Nilienda njia kuu! Ndo maana nkashangaa!
Naona mzee Nguva ndio chaguo lako .🤣 🤣 gamba langu linasema E-Electrical Eng
hii ya P-Mech bila shaka ni Azzan Jr 2, ambaye ni wewe
mkazi wa tabata
Tabata ni mwendo wa advanced Ng'onda, type za kina WolperNaona mzee Nguva ndio chaguo lako .
Uchafu,Sasa mwanamke anatakiwa kujisafisha mara nyingi kadiri inavyowezekana.Mpaka muda huu sijaona mtaalam aliyekuja kuelezea chanzo cha hilo tatizo kwa baadhi ya dada zetu, na namna ya kuondokana nalo.
Badala yake, naona watu wanajimbwambafai tu kukimbia, sinui kufanya nini!!
Hasa hawa malaya wa high standardMwisho wanawake wanaojiuza au wa Lodges huwezi Kuta wananuka k vant
Na wakaweka kiswahili kibovuMods wamebadili heading 😂😂😂😁😁😁