Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ukiumwa ghafla usiku saa tano kwa mikoani unaweza kufa
Hakuna sehemu rahisi kusaidika kama mikoani esp usiku. Watu wanafahamiana, majirani wanajuana, unakuta hosp ya kijiji hadi daktari anajulikana anaishi boma lipi na mwenye nyumba ni nani, bado kuna chembe chembe za ujamaa. Dsm ni ubepari mtupu, kila tatizo yule anayeweza kukupa msaada anaona fursa, usipotapeliwa unaibiwa.
 
Hakuna sifa yeyote kukaa macho usiku, usiku was designed kwa ajili ya mapumziko, au vipi sheik,? Mimi nakaa Dar ila siwezi kuwa nje baada ya saa 12 kama hakuna sababu!
Usiku haujawa designed, ni sehemu ya dunia yako tu inageukia upande usiokuwa na jua. Halafu kuna kuna kazi nyingi na viwanda wanapiga kazi masaa 24, watu wanapokezana tu shift.
 
Huu ni ukweli mchungu. Asilimia 90 wako kwenye ndoa ama.mahusiano kama picha tu.Kwenye foleni zao angalia tu ndani ya gari, kama si mmoja wao amelala basi anachati, au wameweka sura mbuzi, nuru ya uso haipo, uchovu mkubwa, kazini stressi, kurudi usiku wa manane, foleni kubwa, haridhishwi kitandani, mtu kwa siku analala masaa 2 tu, kula yenyewe wanakula fast food au junk foods, machipsi yai, wikend hakuna kupumzka, ni kwenda kujirusha kula mapombe na junk foods, matokeo kiriba tumbo na unene uliopindukia, matatizo ya afya mengi kama nguvu za kiume, presha sukari, hapo ndio mtu anaanza tena kubugia madawa kujaza sumu mwilini, hapo sijazungumzia pollution kama air and land polution za huko dar na noise pollution, ni mtu mmoja huyo anayapata haya yote halafu mnasema ni ujanja kwamba mji umechangamka kumbe watu ni nusu maiti zinazotembea.
Hawawez kukubaliana na hili...ila ukwel miili yetu inahitaj kupumzika pia..na ndo maana ukawepo usiku kwa ajili ya hyo ...Sasa wenyew wanajiona wajanja kwa kukesha bar kumbe wanajimaliza tu...
 
Mji kama Tunduma una mishe nyingi sana ila ikifika saa 4 usiku tu huduma za kifedha kama Tigo Pesa, M-pesa zinakua zimefungwa mji mzima.
 
Mji kama Tunduma una mishe nyingi sana ila ikifika saa 4 usiku tu huduma za kifedha kama Tigo Pesa, M-pesa zinakua zimefungwa mji mzima.
Labda kuna ujambazi au uporaji
 
Mikoani mmepoa sana,kuna mikoa ikifika saa tatu huwezi kuona mtu nje,still wanaamka saa moja, mnakuwa mbafanya nini ndani muda wote.

Saa sita za usiku DSM kuna watu ndio wanajiandaa watoke
Saa saba usiku wauza chipsi bado wanamenya viazi.

Juzi kuna mtuhumiwa kampiga na kitako cha bastola mwenzake saa 12 asubuhi wakiwa kwenye club ya usiku.

Kuna mikoa sungusungu wanaanza doria saa tatu,ukizubaa unakamatwa na kuulizwa eti unatoka wapi usiku huu ,saa tatu ni usiku??

Mnalala sana mikoani
Dar watu wengi hawana pa kulala wanazurura tu kama nguruwe pori usiku kucha!......hizo bar za kukesha wanajaa watu wasio na magazine maana ndo sehemu hamna mtu atakuuliza Acha ushamba mtoa hoja
 
Yeah mkuu japo pia population density ya Dar inachangia huo mzunguko kuwa mkubwa kwa sababu dhidi watu wanavyoongezeka ndivyo mahitaji ya bidhaa yanaongezeka kiasi cha kuongeza mzunguko wa pesa. Kwa hiyo sio laamba kuna uspesho wa watu wa dar ila tu population inapelekea hiyo hali
Hakuna uspesho na sio suala la population tu, ni kwa sababu ya fursa za kieneo. Bandari, Ikulu kuu, mwisho wa reli zote, Airport
 
Mbona kwenye uzi tumebaki wa mikoani peke yetu wale watu wa dar wameenda wapi..?? 🤣🤣🤣

Au ndio mida ya kugombania daladala hii 😄
 
Huko ni outskirt,surbub au nje ya mji au viungani sio mjini
Mwongezeew upcountry au share wanaongoza kwa mapaa marefu ya nyumba kwamba hata ujenzi hufati standard kitu ambacho huwez kukuta huku kino mwanmboka
 
Mbona kwenye uzi tumebaki wa mikoani peke yetu wale watu wa dar wameenda wapi..?? 🤣🤣🤣

Au ndio mida ya kugombania daladala hii 😄
Watu wako bize ndugu,mjini chuo kikuu,wako kwenye mitihani ya maisha,chumba cha mtihsni hakitaki kelele
 
Mikoani mmepoa sana,kuna mikoa ikifika saa tatu huwezi kuona mtu nje,still wanaamka saa moja, mnakuwa mbafanya nini ndani muda wote.

Saa sita za usiku DSM kuna watu ndio wanajiandaa watoke
Saa saba usiku wauza chipsi bado wanamenya viazi.

Juzi kuna mtuhumiwa kampiga na kitako cha bastola mwenzake saa 12 asubuhi wakiwa kwenye club ya usiku.

Kuna mikoa sungusungu wanaanza doria saa tatu,ukizubaa unakamatwa na kuulizwa eti unatoka wapi usiku huu ,saa tatu ni usiku??

Mnalala sana mikoani
Saa 6 usiku unataka uende wapi?
 
Mkoa gani ulitafuta chakula kwa tochi? Au unaongelea aina ya chakula,ulikosa chips kavu? Kama ulikuwa Arusha ungeenda Granmelia ipo pale mkuu ina hadhi ya nyota tano kama Serena unapokunywa chai. Au kama ni masikini masikini ungeenda maeneo Shivers/Mrina ungepata nyama choma na mad* wa kununua.

Tabora ungeenda hata Tabora Belmonte ni nyota tatu haifikii Hyatt unapokula mchana ila ingefidia kidogo, wazungu weusi wenzako huwa wanalala pale pia, kama ni masikini masikini unataka wa kununu ukachakate ungeenda Oxygen Lounge/Club nadhani bado ipo nilipita muda kidogo.

Mwanza zipo sehemu kibao, Iringa zipo.....Mbeya pia nimeshacheki night life yao.

Issue ni hela hamna, au nyie ni madogo na night life mnaigiza mnataka mkute watu weengiii muanze ukenge ukenge 😀 sababu mmeshazoea kufuata mikumbo ya msafara wa mamba.

Halafu watu wa hivi na mitazamo hii hata hapa Dar ndio nyie tunawakimbia club kubwa tunaenda katika vi bar vya nje sababu brother brother nyiiingiii ni bia ya saba zote za mizinga,na kusimulia historia za zamani, ulegend wa kibwege oooh hapa Kino mi legend, babu yangu sijui hivi, wakati watu wanataka kula life kwa kidogo kilichopatikana.

Ukiwasha sigara, haujafika hata katikati anaitaka, unampa nzima anaiweka mfukoni anasubiri unayovuta. Mwishowe unambwatukia dogo kuwa na adabu, kwanza nani kakuita hapa....umeshapata bia na sigara. Ondoka

NB SIO LAZIMA UWE WEWE NDIO WATU KIBAO WALIVYO
Mkuu...umejitetea sana....
 
Back
Top Bottom