Kadri unavyotembea ndivyo unazidi kugundua kuwa "zamani ulikuwa mjinga"
Hapa unaisfia Dar kiasi cha kusema 'shetani mwenyewe anasuburi" ila nikikupeleka Nairobi Kenya, hiyo Dar unaiona ya kawaida tu na pengine utajiona mshamba.
Vivyo hivyo ukiilinganisha Nairobi na sehemu nyingine zilizoendelea itaonekana ya kishamba pia.
NB: UZURI WA SEHEMU, HUTOKANA NA EXPOSURE YA MLENGWA.
Walikukwidaa niniWameru? hovyo sana
Mwanza,Arusha,Mbeya,Tunduma na Kahama umeiacha wapi?Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Diamond itoe.. hamna kitu tenaDiamond
Bundesliga
Katika miji napitaga tu kama upepo ni DodomaFamasiala wewe😄.
Mwanza izidiwe na dodoma, sehemu za starehe? Labda kama unamaanisha vigenge, ila kama ni sehemu za 'kuacha hela" ,Dodoma bado sana.
Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Muulize nipo Arusha muda huu. Namie niende nikacheki kama yaliyomo yamoKuna mwamba anapenda bata hatari alikuwa ananionyesha video kwenye simu yake. Ana picha mpaka za club wahudumu wako Uchida huko Arusha
Nitamuuluza machimbo kisha nitarudi
Nikija huko lazma nije na nitaleta mrejesho hapaDodoma bambalaga, The Bistro, rainbow, la patrona , malaika, waswanu, Laliga, southern empire, royal village na nyingine kibaooo ila hizo ndo zina bamba balaaa... tukutane kesho Bistro team Dom[emoji91][emoji482][emoji2957]
Picnic Arusha. The best place of all time! Haichuji kabisaKwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Waambrieeee haoHAMNA KAMA DAR, hata hiyo Moshi. Wewe endelea na bata pa Sar. DAR KUNA BATA, KUNA STAREHE, DAR HATARI BWANA.
Bunda siligaMwanza:-
1. Galaxy
2. Elevete
3. The Kiss
4. Edeni Park
5. Night Fashion
6. The Breeze
7. Cask
8. Petit Fute
9..........
Nikija huko lazma nije na nitaleta mrejesho hapa