Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Now you are talking, hata mimi sijalazimisha kuwa lazima kila mtu yupo hivyo...na kutokana na kile ulichoandika hapa inaonekana unakubaliana kuwa general rule ni kuwa uhalisia wa mtu unajionesha kupitia kile anachoandika humu.
Pia nakubaliana na wewe kuwa mtu hawezi kuonyesha tabia zote ila tu anatupatia general picture ye ni mtu wa aina gani hata kama hizo tabia huko nje huzionyeshi pia. Tuachane na hayo mambo ya MPD maana tayari umeshasema ni DISORDER

Yeah mie mbona hiyo ndiyo ilikuwa point yangu in the first place! Ila nashangaa kuna watu kule juu walikuwa wanang’ang’ania kuwa hakuna kabisa watu ambao tabia zao za mitandaoni ni tofauti na za uhalisia kwamba eti WOTE tuko sawa!

Tupo wengi tu ambao ni exception ya hiyo general rule! So nakubali kuwa watu wengi huwa wanashindwa kuficha uhalisia wao ila SIYO WOTE!
 
Nina.huruma sana unaweza sema sitorudia hii kitu hapo unakuta nalia kweli kweli, mwezi haupiti, nikiombwa tu msaada shetan anatokea msaidie bana.

Hapa nipo nalipa hela nilomkopea binadamu kwenye chama na riba juu ee Mungu kwa nini unanikutanisha na watu wa kuniletea natatizo kila Siku?
Huyu ni mtu wa tatu namkopea na halipi mwisho nalipa mimi. Hili li moyo langu nimelichoka.
 
Nina.huruma sana unaweza sema sitorudia hii kitu hapo unakuta nalia kweli kweli, mwezi haupiti, nikiombwa tu msaada shetan anatokea msaidie bana.

Hapa nipo nalipa hela nilomkopea binadamu kwenye chama na riba juu ee Mungu kwa nini unanikutanisha na watu wa kuniletea natatizo kila Siku?
Huyu ni mtu wa tatu namkopea na halipi mwisho nalipa mimi. Hili li moyo langu nimelichoka.
una moyo mzuri sana, ukimaliza kulipa nami ntakuja unikopee bt mimi ni mwaminifu ntalipa
 
Sosho media zinanisaidia sanaa, hila mimi ni introvert kindakindaki in rili laifu
 
Back
Top Bottom