Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,😂😂😂best naso narudi kijijini
BASI NENDA_MO MUSICHivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
Ukishushia BLACK LABEL 😊😊😂😂Huo muda wa kusikiliza mziki bora ukale zako kitimoto urudi home kulala
Love takes time to heal mariah careyHivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
Bila kusahau Hanson choice na maji makubwa 😊😊😂😂Songa dona la maana kanunue kitimoto kilo Moja nusu rost nusu choma.. ukishamaliza niambie nikupange nn Cha kufanya
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???Nimekutana na ex wangu amekonda mbwaaa yule 🪘🥁🎷
Nimekutana na ex wangu amekonda mbwaaa yule 🪘🥁🎷
😍😍😍😍 Kumbe!kuachwa na na mwanamke ni SAWA SAWA na kumaliza mkopo Umiza...! unatakiwa umshukuru sana MUNGU
Natamani ningeelewa anachokimaanishaKula ngoma kali za Budagala Ng'wanamalonja, Kisima au Bahati Bugalama utakuwa sawa baada ya muda 😁
View attachment 2941263
Nenda bar inayopiga amapiano kali kali, choma nyama ule mpaka meno ya katae, alafu vuta na mitungi kadhaa mwagilia moyo huku unashukuru kwa kuepushwa mbali na huyo malayer. Ukitoka hapo kafanye kazi kwa bidii watakuja wenyeweHivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?