Ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie

inabidi ujue umeachwa kwa sababu gani kwanza
 
Kuna mtu kaachwa anafanya sala kila siku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuachwa huku
 
Mimi mars ft Mwana Fa - Ex Remix.

Poleee sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mapenzi basiii🎶
Nimeyavulia shatiiii🎶
Kupendwa ni ajiraaa🎶
Na mimi sina vyetiiii🎶
 
Mtoa comment mmoja kasema kuachwa kunafanana na mtu aliyekopa na kisha akamaliza mkopo so iyo kuachwa ni sawa na aliyemaliza mkopo tena ule wa kausha damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…