Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Umeacha na gari au umeachwa na nini..Hivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
🤣🙌Maselaaa nimekutana na ex wangu amekonda mbwaaa yule 🪘🥁🎷
Na uwe na uhakika wa hela ya kula vizuriHskuna kitu kitamu Kama kuachwa na mwanamke especially Kama wewe hujaoa na unakaa uswazi.
Post namba 33 dj Chakorii katuwekea kibao.....
Umeshawahi kuachwa?Jidenna Bambi
Mtumishi bado sina hiyo experienceUmeshawahi kuachwa?
😅😅😅😅 viswaswadu na kwa jirani wakajuaHskuna kitu kitamu Kama kuachwa na mwanamke especially Kama wewe hujaoa na unakaa uswazi.
Nyimbo za Kwaresima.Hivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?