Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ugali umekulea mzeeMie pia ningetoa ugali jamani. Lol.
Ila sio huo mweupe Mkuu. Mi nimelelewa na dona na ule ugali wa muhogo.Ugali umekulea mzee
Basi yaishe nimetengua kauli nguruwe wangu nawalisha pumba za mcheleHili suala lako litatufikisha mbali, kesho ICC watatoa warrant ya kukukamata kwa dharula. Unachokifanya ni kuhatarisha usalama wa dunia.
natoa huyo kuku kama ni wa kizungu
Hapo mi 'NTATOA' asante tu na kuendelea na malaji
Issue kubwa ni value, ugali ni starch zaidi ambayo unaweza kupata kwenye food sources nyingine ambazo zina plus other vitamins. Kwa mfano viazi vitamu vina vitamins plus starch, so why eating ugali?Na watz wengi tunaishi humo, sababu ni umaskini ambao now umegeuka kuwa utamaduni maana hata wenye pesa za kula vizuri utakuta wanagonga ugali kama kawa.
Kibakuli cha chini kushoto.
Angalau pressure imeshuka.Basi yaishe nimetengua kauli nguruwe wangu nawalisha pumba za mchele
Inawezekana elimu ya nutrition inatolewa lakini waungwana wanashindwa kuitumia.Issue kubwa ni value, ugali ni starch zaidi ambayo unaweza kupata kwenye food sources nyingine ambazo zina plus other vitamins. Kwa mfano viazi vitamu vina vitamins plus starch, so why eating ugali?
Dah haya bhanaπππAngalau pressure imeshuka.
Tatoa maoniππππ
Una akili nyingi weweTatoa chombo baada ya kula vyote ivyo
πUGALI UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI
Sema tu utaondoa ugali mrembo Aksha maneno yasiwe mengi πππJapo napenda sana ugali, ila sio huo mweupe hivyo.