Ukiangalia kichapo kinachotolewa na Israel utagundua Russia ni overrated sana

Ukiangalia kichapo kinachotolewa na Israel utagundua Russia ni overrated sana

Israel hana kelele ni kipigo tu

Russia kelele Nyingi mara atishie kutumia nyuklia na mambo mengi ..

Tunataka atoe kichapo .
unasema hivyo utadhani israel anapigana vita na mchina ,mkorea,mjerumani au m UK....kumbe anapigana na panya road na jasho linamtokea makalioni
 
Kwahiyo kuua watu ni sifa?
Putin namkubali sababu anaendesha ile oparesheni kistaarabu sana, kwa uwezo alionao anaweza kufanya hata zaidi ya hao unaowasifu.
Israel anapambana na magaidi yaliyojificha nyuma ya raia wa kawaida wanawake na watoto, Mrusi anapambana na jeshi la nchi.

Ni vitu viwili tofauti.
 
Baada ya kipigo kukolea ndio mmewageuka mabwana zenu Hezbollah na kuwaita panya road?!
ukizungumzia levo za medani za vita hezbollah km panya road japo nao wanawatembezea kichapo hao maisrael...km wangekuwa kwenye levo za hayo mataifa niliyoyataja tungekuwa tunazungumzia vita kuu ya 3 ya dunia now kwasababu israel ingekuwa inawaka km inavyotokea lebanon na gaza
hivi imagine unapigana na kiduku halafu unasogeza vifaru mpakani kufanya ground invasion,nafasi hiyo unaipata ukipigana na vikundi vya upatu na vikoba kama hivi
 
ukizungumzia levo za medani za vita hezbollah km panya road japo nao wanawatembezea kichapo hao maisrael...km wangekuwa kwenye levo za hayo mataifa niliyoyataja tungekuwa tunazungumzia vita kuu ya 3 ya dunia now kwasababu israel ingekuwa inawaka km inavyotokea lebanon na gaza
hivi imagine unapigana na kiduku halafu unasogeza vifaru mpakani kufanya ground invasion,nafasi hiyo unaipata ukipigana na vikundi vya upatu na vikoba kama hivi
Kichapo gani wakati ndani ya week moja Israel ameua karibu viongozi wote wa juu wa magaidi Hezbollah
 
Hezbollah unaliita kundi la wahuni wavuta bangi? Lile ni tawi kabsa la Iran nchini Lebanon unawadharau sababu ya uwezo wa Israel....!
Anasahau military capability ya Hezbollah ni kubwa hata kuliko nguvu ya Kijeshi ya Jeshi la serikali ya Lebanon
 
Ila maisha yanabadilika sana. Hivi inakuwaje mtu kutwa anashabikia mauaji yanayotokea sehemu fulani? Ni roho mbaya, uchawi au ujinga?

Yani kabisa unaandika tunataka kichapo sio makelele, hujisikii hata vibaya japo kidogo? Unahisi hawa wanaokufa hawana roho, au hawana ndugu na familia? Wewe umewahi kufiwa mkuu na kupoteza wapendwa wako, ulijisikiaje?

Dunia kwa namna yoyote inabidi iwe sehemu salama ya kuishi, kukaa bonyokwa na kuanza kushabikia mauaji yanayotokea Iran au Israel au Palestina au Ukraine ni ujinga sana, unahisi hayakuhusu sio? Tambua mambo yakichachaa huko unakoona hakukuhusu HATA WEWE HAUTAKUWA SALAMA.

Haijalishi anakufa mwarabu, muisilami, muisraeli, mwafrika au baniani ni lazima binadamu tuwe na utu. Ni muhimu tujitofautishe na wanyama japo kwa akili tu
Ongea pole pole usitufokee, wengine tumebet tuna mikeka yetu kwenye hii minyukano yao
 
HIVI UNAFAHAMU KUWA BILA MAREKANI HAKUNA ISRAEL? KILA MWAKA ROBO TATU YA BAJETI YA NCHI YA ISRAEL ANATOA MAREKANI? SILAHA ZOTE NZITO NZITO NA ZA MAANA ANAPEWA NA MAREKANI? HIVI UNAFAHAMU KUNA BAADHI YA SILAHA ISRAEL ANANUNUA URUSI? HIVI UNAFAHAMU HADI SASA HIVI ISRAEL ANAPIGANA NA VIJANA WA MTAANI TU AMBAO WANAJUA KUTUMIA BUNDUKI TU TENA WAKIWA HAWANA MAFUNZO YA KIJESHI? NA BADO ANATOLEWA KAMASI?
Russia anasaidiwa na Iran, North korea, na nchi zingine, ukraine anapigan offensive
 
LEBANON,YEMEN,GAZA(PALESTINA) VIINCHI VIDOGO,MASIKINI NA DHAIFU. HATA SISI TANZANIA TUNAUWEZO WA KUVITANDIKA. HEZBULAH,HAMAS VIKUNDI VYA VIJANA WAVUTA BANGI WA KILEBANONI NA KIPALESTINA WALIOJIKUSANYA KUPAMBANA NA ISRAEL WAKIWA NA SILAHA DHAIFU NA MAFUNZO YA KAWAIDA YAANI BASIC HATA JWTZ INAWEZA KUWATANDIKA VIZURI TU. UKRAINE NCHI KUBWA YENYE UCHUMI MKUBWA KULIKO YEMEN,PALESTINA NA LEBANON IKIWA NA SAPOTI YA NCHI 30 NYUMA YAKE AKIWEMO MAREKANI,UINGEREZA,UFARANSA,UJERUMANI,ITALY N.K NA BADO ANACHAPIKA TU.
Chai tupu, kwa vifaa vipi mlivo navyo. Ebu tusiongee mengi
 
Israel hana kelele ni kipigo tu

Russia kelele Nyingi mara atishie kutumia nyuklia na mambo mengi ..

Tunataka atoe kichapo .
Israel ndio overrated, hayo mauaji yote mfanyaji ni US na UK.
 
Ushajiuliza ni vipi kama Urusi angekuwa anawasaidia washirika wake moja kwa moja pale mashariki ya kati, kama Marekani anavyofanya ni kitu gani kingetokea? Unadhani Israel angekuwa anatamba kama anavyotamba leo?
Kwann hawasaidii sasa unafikiri??
 
Sibishani,nakupa fact kwa lugha ya kishkaji
Huna ujualo, kama lipo bas unalijua isivyo sawa sawa..Historia ya marekan u cant find it anywhere in more that 2000 years back ambapo jews walishakua wanakipiga sana na hawa waajemi na wafilist. Marekan ni taifa la juz tu halina historia oldest hata ukilinganisha na wa ottoman au warumi, wayahud ndio usiseme kabisaa wala kuwalinganisha nao
 
Usimlaumu Russia, sijui ni lini Mtaamini Israel ina favor ya Mungu, yote yanayotokea Israel yapo kwenye Maandiko! Watapigwa mpaka mwisho wa Ulimwengu!
Yah katika eschatology tunajifunza, hii iko dhahiri, itafika kipindi ambapo israel itapigana na ulimwengu mzima na watachapika balaa na kukimbilia bonde la bozra, na Messiah pekee ndiye atawanusuru..

In the whole bible this passage DANIEL 9: 22-27 ndio the most significant prophecy ambapo hayo yote utayakuta japo kwa wasomaji wa kawaida wanaweza wasielewe

Lakin before hili, myahud atawachapa sana hapo middle east
 
Akifa wa Hamas au wa Urusi au wa Kipalestina wewe kama wewe unafaidika na nini?
Naona umejipatia cheo kwa kutetea haki za binadamu baada kipigo.

Tunatajia kushangilia kwako wakati Israel itakapo shambuliwa na magaidi.
 
Israel hana kelele ni kipigo tu

Russia kelele Nyingi mara atishie kutumia nyuklia na mambo mengi ..

Tunataka atoe kichapo .
sasa mkuu russia inapigana na nchi yenye jeshi, lenye vifaa vya jeshi na misaada lukuki wakati israel inapigana na wanamgambo ambao hata helcopter hawarushi hawana ndege wala nini na kama wana backup ni ya iran na nchi ambazo zinajificha gizani wategemea mapigano hayo yawe sawa?
 
Chai tupu, kwa vifaa vipi mlivo navyo. Ebu tusiongee mengi
OK KARIBU SHULE UJIFUNZE VIKUNDI VYA WAPIGANAJI KAMA HAMAS/HIZBOLAH HAWANA HELIKOPTA,JET FIGHTERS,VIFARU,ARMORED VEHICLES,MIFUMO YA KUZUIA MAKOMBORA N.K KWASABABU NI VIKUNDI TU SIO JESHI WANA SILAHA DHAIFU TU NA ZA KAWAIDA KINACHOWASAIDIA NI KUVAA KIRAIA NA KUJICHANGANYA NA RAIA NDIO MAANA INAKUWA NGUMU KUPAMBANA NAO KAMA WANAJITOKEZA KWENYE OPEN GROUND JWTZ INAWASHUSHA DK TU. HAMAS/HIZBULAH VIKUNDI VYA WAHUNI TU.
 
Back
Top Bottom