Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
poleusile nyama ya mtu maana hutoacha
😀 .
Kama kuna la kusema mtu si useme tu, kutumia nahau nyingi kama vile tupo kwenye somo la kiswahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleusile nyama ya mtu maana hutoacha
😀 .
Kama kuna la kusema mtu si useme tu, kutumia nahau nyingi kama vile tupo kwenye somo la kiswahili.
kitimoto? acha kabisaNikiwaza nyama [emoji28] kumbe sio nyama niliyoiwaza mm
Kaone......[emoji28]Nikiwaza nyama [emoji28] kumbe sio nyama niliyoiwaza mm
Mbuzi[emoji39]kitimoto? acha kabisa
Bwana bwana waja wana misamiati hatari[emoji23]Kaone......[emoji28]
Tena jangwani🤪Toba hiyo itafanyika madhabahu gani.
Itabidi wachinge Ngamia.
kitimoto? acha kabisaNikiwaza nyama [emoji28] kumbe sio nyama niliyoiwaza mm
Mbuzi KatolikiMbuzi[emoji39]
Inaonekana inatisha sana.Nadhani ana habari nzito sana
Nahau nyingi kama Kitanu Cha Ufunuousile nyama ya mtu maana hutoacha
😀 .
Kama kuna la kusema mtu si useme tu, kutumia nahau nyingi kama vile tupo kwenye somo la kiswahili.
Hasa ukizingatia utangulizi wake wa " ukianza kula nyama ya mtu"Inaonekana inatisha sana.
Ina maana kuna watu wamekula nyama tena.Hasa ukizingatia utangulizi wake wa " ukianza kula nyama ya mtu"
Hayo ni maigizo. Behind the scene ndo Kuna UKWELI.Kumbe, Mimi nilikua nazungumzia issue ya Gekuli hahahhaa ok ok
" ya mtu"Ina maana kuna watu wamekula nyama tena.
Mbona hata mimi nimemaliza kula Nyama ya Mbuzi?
Kwani kula nyama siku huzi ni dhambi? As long as sijala Najisi
Inaliwa Kwan?🔥" ya mtu"
Makubwa hayo." ya mtu"
by elimination method?Kigogo kigogo!aliripoti kuwa Dr.ntibazonkiza kalazwa kule kwa Biden!Leo kaandika eti Tayari!!
Sijajua kama no kweli halafu kamati kuu ya kijani ipo maandalizi ya mkutano!!
hahahaha kwamba wamekula nyama ya mtu?" ya mtu"