Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Yaani JF buana, mmebadilisha kabisa Thread yangu dah, wakulungwa sio watuby elimination method?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani JF buana, mmebadilisha kabisa Thread yangu dah, wakulungwa sio watuby elimination method?
Wana picha zao za utupu, nadhani wanataka kurudi EdenKumekucha tena, siku hazigandi, waliyoyatenda yanaenedelea na yatakula hadi shoka. Kama shoka ikichomeka usidhani mpini utabaki salama, Time will tell.
CCM msipotubu dhambi hii itaendelea kuwatafuna na kamwe hamtapata amani. Yajayo wala hayafurahishi.
kula kitimoto Mpwa, utanikumbukaIna maana kuna watu wamekula nyama tena.
Mbona hata mimi nimemaliza kula Nyama ya Mbuzi?
Kwani kula nyama siku huzi ni dhambi? As long as sijala Najisi
hahahahahahhaa ila watu wakivua nguo wanatisha, nguo zinaficha mengi sanaWana picha zao za utupu, nadhani wanataka kurudi Eden
Turudi kwenye mada. Nyama ya mtu inapatikana wapi?Yaani JF buana, mmebadilisha kabisa Thread yangu dah, wakulungwa sio watu
CCM msipotubu dhambi hii itaendelea kuwatafuna na kamwe hamtapata amani. Yajayo wala hayafurahishi.Kumekucha tena, siku hazigandi, waliyoyatenda yanaenedelea na yatakula hadi shoka. Kama shoka ikichomeka usidhani mpini utabaki salama, Time will tell.
CCM msipotubu dhambi hii itaendelea kuwatafuna na kamwe hamtapata amani. Yajayo wala hayafurahishi.
Namzungumzia Gekul. Hana maadili kubaki ndani ya chamaAmeng'ata mninga!!
acheni ramli chonganishiYametimia sio! Nipo zangu Nairobi hapa.
Hahahhaaha Mpwa hili suala gumu sana ila wakiendelea kula nyama za watu kwa kuteua watu wasio na maadili basi wajue yajayo hayana mvutoTurudi kwenye mada. Nyama ya mtu inapatikana wapi?
kula kitimoto Mpwa, utanikumbuka
ILa zile "Najisi" nyingine unakula....tule nyama?Hahah sijawahi kula najisi mimi
HahahaILa zile "Najisi" nyingine unakula....tule nyama?
ZipiILa zile "Najisi" nyingine unakula....tule nyama?