Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
 
IMG_0803.jpg
 
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Habari... Kwann unatoa mkasa baada ya kisa, au kisa ndo mkasa??
 
Kila jambo hutokea kwenye maisha huwa lina sababu nyuma yake,

kuwa mtulivu, Jenga busara, tumia maarifa na hekima kutatua hiyo changamoto.

kulalamika sio tija, wapo viumbe wanaopitia wakati mgumu zaidi kuliko wewe na wana matumaini ya kuendelea kuishi.
 
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Ongeza sauti bado haipita ktk ubongo itakua
 
Back
Top Bottom