Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaona isiwe tabu umchane🤣🤣Kwa hiyo ndio unaishi ktk ule msemo, wenu wa heli kuvumilia kwenye V8,kuliko kwenye baiskeli.
Basi endelea kula chuma hiko kutoka kwa shemeji.
No comment, kwani una umri Gani?Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Fanya unless wala chuma🤣🤣kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Sura ipokuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Hapana hasimamishi sasa nisisemeUnadhalilisha wachaga sio??
Hana shida ila ni mzeeAlafu wengi ambao hawaoi/kuolewa watakuwa na kasoro za vitendea kazi vya tendo la ndoa😂
Haswa kwa dunia ya sasa itakuwa kweli🤣Alafu wengi ambao hawaoi/kuolewa watakuwa na kasoro za vitendea kazi vya tendo la ndoa😂
😆😆Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
Watashinda mitandaoniNdoa ni tendo.
Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Tushushe tuta linalofuataAlikuwa anatumia sex toys
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
😅😅kama ulitumia hizi betri na ujaolewa au kuoa aisee ata uende kwa mwamposa Utoboi🤣🤣🤣
View attachment 2741284
kama ulitumia hizi betri na ujaolewa au kuoa aisee ata uende kwa mwamposa Utoboi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2741284