Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
No comment, kwani una umri Gani?
 
kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
 
kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Fanya unless wala chuma🤣🤣
 
kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Sura ipo
 
Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
 
Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
😆😆
 
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.

Umechelewa kuoa au Kuolewa ?
 
kama ulitumia hizi betri na ujaolewa au kuoa aisee ata uende kwa mwamposa Utoboi🤣🤣🤣
20230906_203056.jpg
 
Back
Top Bottom