Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ni kweliUkichelewa kuoa ama kuchelewa kuolewa.
Jitahidi sana utumie mbinu ya wahindi na waarabu ya arranged marriage.
Kwenye kutafuta mwenyewe kienyeji utakutana na vituko vya kila aina vya Left overs wenzako na kuzidi kupoteza muda bila kufanikiwa
Habari... Kwann unatoa mkasa baada ya kisa, au kisa ndo mkasa??Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Alikuwa anatumia sex toysNdoa ni tendo.
Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Lkn si ana hela.Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Eh sana tuLkn si ana hela.
Pesa sio Kila kitu...Lkn si ana hela.
Mmh hayaAlikuwa anatumia sex toys
Kwa hiyo ndio unaishi ktk ule msemo, wenu wa heli kuvumilia kwenye V8,kuliko kucheka kwenye baiskeli.Eh sana tu
Wanawake wachache sana kati ya 10,hawazidi watatu wanao amini ya kuwa pesa sio kila kitu.Pesa sio Kila kitu...
Ongeza sauti bado haipita ktk ubongo itakuaBora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.