Ukichunguza kiundani GSM amejitangaza sana na kupiga fedha kupitia Yanga lakini anachowafanyia ni sanaa tupu

Ukichunguza kiundani GSM amejitangaza sana na kupiga fedha kupitia Yanga lakini anachowafanyia ni sanaa tupu

Kwa fedha alivyoipAtA GSM, YAnga tunashindwaje kusajili wachezaji wa maana?.
Huku Simba ikichukua wachezaji wenye record kubwa. Yanga tumewekeza kwenye propaganda hakuna uhalisia.
Aliyeisaidia yangA kwa Hali na Mali alikuwa mAnji tu. Alisajili na kuifanya timu kuwa Bora.

GSM yupo kufanya unyonyaji. Wamejibrand kupitia yanga lkn wanaiacha yanga ikiwa ovyo mwaka Hadi mwaka.

Kitu pekee walichofanikiwa NI kwenye propaganda. Kwanza walikaa karibu na Manara toka awali ili asiwalenge na kufanya vibaya kwa yanga.

Timu kubwa Kama yanga inataka uwekezaji haswa kitakwimu sio propaganda. Tujue Mo hutumia B. 4 kwa mwaka kwa Simba. GSM hutumia kiasi gAni.
Na ukweli NI kuwa bila yanga GSM ilikuwa sio kitu kabisa. Na ukweli kwa alivyofanikiwa kwenye propaganda GSM.

Tunaojua soka la yanga tunamkumbuka na Abasi Gulamali, Yanga wanakuwa mabingwa wa kistoria kupitia yeye. Yanga ya makombe ndio yeye. Mabingwa wa Tanzania na Afrika mashariki na Kati.

Tujiulize huyu GSM anamizizi yanga au kaingia kidili dili tu.

Mo kuanzia babu yake wote ni Simba je huyu GSM mizizi yake NI soka. Ivi awaoni ata akina chikwembe.
Dada unadhania kuandaa timu ni kitu rahisi,gsm kaikuta Yanga dhofu lihali leo Yanga inaanza kupata mwanga wa mafanikio unaleta uchawi wako,waulize mikia walisufer kwa muda gani kuandaa timu yao,nyie ndio mnaotumika na kina ndama kwa ajili tu gsm kakamatia biashara yenu ya jezi ambayo kipindi mnaiibia Yanga ilikua aifaidiki na chochote
 

Mafanikio kwa yanga ni suala la muda tu, wachezaji walio sajiliwa ni wazuri sana. Naona kwenye management ndo wanatakiwa wajibrashi.
 
Watu Kama nyie mna chembechembe za uchawi Kama sio mchawi halisia,,,unapataje ujasiri wa kumbeza gsm wewe? kabla ya gsm ajaingia yanga timu ilikuwa na hali gani, mishahara unalipa wewe, gharama za kambi unalipa wewe, usajili unasajili wewe, mda mwingine kabla ujapost kitu apa uushirikishe ubongo wako kwanza mkuu!
Watu wengine wanataka waonekane wanajua kuongea hata kama hawana hoja yoyote
 
Kumbukeni mwamedi anawadai billion 21 alizowakopesha maana simba inaendeshwa kihasara
 
It doesn't matter Mkuu, Ila najua umenielewa ila unachokitaka now ni ubishi na ushabiki ambapo mimi huko siongelei na kama hujanielewa itakuwa ni Jeuri yako tu
Umeshiba propaganda za GSM tu. Ivi ulikuwepo enzi za Gulamali na Manji wewe!?
 
Kumbukeni mwamedi anawadai billion 21 alizowakopesha maana simba inaendeshwa kihasara
Yanga tumerogwa na Nani sijui. Chini ya Mo Simba Ina makombe kibao. Leo hii tunahoji uwekezaji unaoonekana matokeo yake na kumuacha mwekezaji hewa akipiga mkwanja mrefu kwa kina letu huru.
 
Yanga tumerogwa na Nani sijui. Chini ya Mo Simba Ina makombe kibao. Leo hii tunahoji uwekezaji unaoonekana matokeo yake na kumuacha mwekezaji hewa akipiga mkwanja mrefu kwa kina letu huru.
Umerogwa wewe, Acha kusingizia Yanga
 
Hauwezi kuwa MwanaYanga ww, hili la kwanza na pili fuatilia CV ya coach Nasredine Mohammed Nabi pia na coach Cedric Kaze ni makocha wa daraja la Juu sana halafu njoo kwa makocha hawa Coach Gomes, Coach Sven, na Coach Ausems ni makocha wa madaraja sawa na hao wa Yanga ila tofauti yao walijikuta simba ipo kwenye reli tayari na wakafanya nayo vzr ila now angalia Coach Ausems kule Afc Leopard Kenya alivyo na matokeo mabaya na vipi kuhusu Coach Sven wale RS Berkane kawafikisha wapi kwenye ligi kuu ya Morroco na vipi kuhusu michuano ya Africa kawafikisha wapi bila kusahau hapo unakumbuka Gomes alipokuwa Al hilal ya pale Sudan alifanya nini kwenye mashindano ya Afrika

Kwenye swala la usajili hapa huwa kifanyike kitu kinaitwa Gambling, Luis Jose Miquissone alisajiliwa Mamelodi sundowns alishindwa Kuprove ubora wake akarudishwa Ud songo kwa mkopo, ila simba wakamchukua waka Win katika hilo na ikawalipa ila hapo nyuma pia wamewahi kufanya sajili nyingi na hazikuwa lipa na wakapata flop players

Ishu ya mpira ni ufundi kama unaangalia kwa jicho hilo ila kama unaangalia kwa jicho la kiushabiki huwezi kuelewa ninacho kuzungumza
Exactly umeongea kiufundi Sana kwenye usajili. Na hapo nasema Kama Yanga wanajua Kuna kupatia au kukosea kwenye usajili kwanini wasiongeze wigo wa idadi ya inaowasajili. Kwanini wasajili wachache? Je GSM hajui au hataki kutumia pesa kwa timu iliyozipa upepo biashara zake.
Simba iliwachukua akina kahata, Chikwembe, Morrison na akina chama na miquison wakawa Bora zaidi.
Hivyo jibu NI liko wazi GSM hajawekeza vya kutosha.
 
Hauwezi kuwa MwanaYanga ww, hili la kwanza na pili fuatilia CV ya coach Nasredine Mohammed Nabi pia na coach Cedric Kaze ni makocha wa daraja la Juu sana halafu njoo kwa makocha hawa Coach Gomes, Coach Sven, na Coach Ausems ni makocha wa madaraja sawa na hao wa Yanga ila tofauti yao walijikuta simba ipo kwenye reli tayari na wakafanya nayo vzr ila now angalia Coach Ausems kule Afc Leopard Kenya alivyo na matokeo mabaya na vipi kuhusu Coach Sven wale RS Berkane kawafikisha wapi kwenye ligi kuu ya Morroco na vipi kuhusu michuano ya Africa kawafikisha wapi bila kusahau hapo unakumbuka Gomes alipokuwa Al hilal ya pale Sudan alifanya nini kwenye mashindano ya Afrika

Kwenye swala la usajili hapa huwa kifanyike kitu kinaitwa Gambling, Luis Jose Miquissone alisajiliwa Mamelodi sundowns alishindwa Kuprove ubora wake akarudishwa Ud songo kwa mkopo, ila simba wakamchukua waka Win katika hilo na ikawalipa ila hapo nyuma pia wamewahi kufanya sajili nyingi na hazikuwa lipa na wakapata flop players

Ishu ya mpira ni ufundi kama unaangalia kwa jicho hilo ila kama unaangalia kwa jicho la kiushabiki huwezi kuelewa ninacho kuzungumza
Sven siyo kocha wa RS Berkane ni kocha FAR RABAT
 
Mtu ukijiunga jf unajiona una akili na kutoa mashudu kama haya. Hujui wewe ni expect member?
Salary unalipa wewe akiondoka au ndio ukolo? Mudi wenu anatumia bil 4 ushahidi uko wapi?
Tena hilo mudi ndio likwepaji kodi na tapeli kubwa liliwapa wachezaji wenu bodaboda.. 😁😁😁
 
Tuseme kwa sauti kubwa GSM sio.MO na hawezi kutia mpunga wa kuiboresha sawa sawa na Mo[emoji1588]
 
Back
Top Bottom