Kwani kazungumzia kagera ya mtukula tu au yote kwa ujumla?Wewe kweli hujaelewa mada. Sasa wewe hapo kama kijana wa kitanzania unaweza kutoka Dar ukaja kutafuta maisha Izimbya??
Achana na wakazi, mikoa yote ukiangalia wakazi unakutaga wana maisha mabovu kuliko wanaokuja kutafuta. Hilo ni jambo la kawaida.
Hapa tunaongelea uwezekano wa huyo wa kuja kutumia fursa zilizopo kutoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kwenye mada hakuna Kagera kuna Bukoba.
We unaishi mkoa gani ambapo umefanikiwa kwa kiasi gani, tuanzie hapo kwanzaIeleweke ni ngumu sana kufanikiwa kimaisha SIO haiwezekani kufanikiwa:-
- Arusha
- Kilimanjaro
- Tabora
- Simiyu
- Geita
- Kigoma
- Lindi
- Mtwara
- Ruvuma
- Bukoba
- Mara
- zanzibar yote
Hiyo mikoa kama ndio unataka kuanza kutafuta maisha sikushauri uende.
Geita,nimekuelewa sana,hili halina ubishiIeleweke ni ngumu sana kufanikiwa kimaisha SIO haiwezekani kufanikiwa:-
- Arusha
- Kilimanjaro
- Tabora
- Simiyu
- Geita
- Kigoma
- Lindi
- Mtwara
- Ruvuma
- Bukoba
- Mara
- zanzibar yote
Hiyo mikoa kama ndio unataka kuanza kutafuta maisha sikushauri uende.
Arusha ni pagumu Sana mkuu.Kilimanjaro na Bukoba sawa.ila Arusha big no.Geita usikae mjini ukitaka kufanikiwa na Tabora siku hizi pamechangamka ukijituma pesa inapatikana
Vibarua sijui ila ni mkoa ambao ukichakarika pesa unaionaArusha ni pagumu Sana mkuu.
Usione uzur wa magorofa ukafikir pesa inapatikana kiurahisi.
Yaani kule kupata kibarua Cha kulipwa elfu 5 kwa siku ni shughuli pevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwenye biashara pia ni pagumu.Vibarua sijui ila ni mkoa ambao ukichakarika pesa unaiona
HahahaHata Mimi simuelewi huyu pimbi kwamba anamaanisha wachaga wote ni mameneja ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...Wenzako wamekuja huku Zanzibar wakiwa dhaifu wakaondoka mashujaa ...wamekuja masikini sa ivi alhamdulillah wanajiweza kimaisha ...wengine walikuja kulelewa tu huku sa ivi wanatamba tu mjini wengine wamechukua mpaka mazari ya uongozi wa nchi hii ...Ali Hassan Mwinyi kaletwa kulelewa tu hatimae kawa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ...nadhani huijui Zanzibar wewe!!
Kuhusu uchapaji kazi kwa Wanyaturu hilo halina shaka afu Sio wasumbufu.Hapo umeongea kweli lakini huenda hiyo idadi kubwa ya hilo kabila ni kutokana na wenyeji wa maeneo hayo ndio wao kwa hiyo lazima watakua wengi tu ukilinganisha na makabila mengine ambayo ni wachache mkoani hapo sababu sio wenyeji wa huo mkoa, au sio?
Nimefanya kazi kwenye maeneo mengi Tanzania hilo nimeliona kila eneo wenyeji lazima wazidi wageni kwenye kila idara ila utofauti nimeona huko huko Arusha tulikua na ziara kwenye hivyo viwanda lakini idadi ya warangi na wanyaturu ni kubwa kuliko idadi ya wameru na waarusha / wamasai kwenye viwanda vya a to z kule kisongo na unga limited almost maeneo yote ya viwanda, na kuna utamaduni kwamba wahindi hupendelea kuwaajiri hao sababu ya dini zao na hukubali mshahara wowote na sio wasumbufu.
Nimejaribu tu kushare nilichokiona mwenyewe maeneo hayo.
Ongeza na MWANZA nmekaa mwaka wa sita sijaelewa biashara ya huku inaendaje kuna ukora flani ivii ukifungua duka uko jirani na Ngosha basii hauzi kituIeleweke ni ngumu sana kufanikiwa kimaisha SIO haiwezekani kufanikiwa:-
- Arusha
- Kilimanjaro
- Tabora
- Simiyu
- Geita
- Kigoma
- Lindi
- Mtwara
- Ruvuma
- Bukoba
- Mara
- zanzibar yote
Hiyo mikoa kama ndio unataka kuanza kutafuta maisha sikushauri uende.
Hujui kuchungulia fursaIeleweke ni ngumu sana kufanikiwa kimaisha SIO haiwezekani kufanikiwa:-
- Arusha
- Kilimanjaro
- Tabora
- Simiyu
- Geita
- Kigoma
- Lindi
- Mtwara
- Ruvuma
- Bukoba
- Mara
- zanzibar yote
Hiyo mikoa kama ndio unataka kuanza kutafuta maisha sikushauri uende.