Ukienda kutafuta maisha kwenye mikoa hii ni ngumu sana kutoboa

Ukienda kutafuta maisha kwenye mikoa hii ni ngumu sana kutoboa

inshu sio gharama ya maisha kuwa chini,kwenye uchumi kuna vitu vingi sana za kuangalia ,nyama kilo 5000,mchele ni 15000-2000,maharage kilo ni 2000,,samaki na dagaa bei ipo juu,ndizi kumi 1000!!!kodi ya nyumba ndio hizo kidogo kuna afadhari tena kwa wale wanao panga nyumba nzima!!huo una fuu wa maisha upo wapi kulinganisha na mzunguko wa pesa uliopo hapo?!!sema mkoa mwingine lakini bukoba hapana!!!!kwanza muingiliano wa watu ni mdogo sana kutokana na jiografia yake!!!hiyo vanilla kuilima unadhania ni kazi rahisi?mkuu tena biashara hiyo ya nguo watu wengi siku hizi wanafuata katoro kwanini?kama hujui siri hiyo fanya uchunguzi
Nakubishia kwenye muingiliano wa watu.hakuna mkoa wenye muingiliano mkubwa wa watu tz kama Kagera.mkoa huu ndo unaongoza Kwa wahamiaji Kwa sababu ya giografia yake ndo maana ukimwi ulipitia huko na tishio la ebola wanaanzaga na Kagera Kwanza maana kwa muingiliano wa watu kutoka mataifa mbalimbali ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inshu sio gharama ya maisha kuwa chini,kwenye uchumi kuna vitu vingi sana za kuangalia ,nyama kilo 5000,mchele ni 15000-2000,maharage kilo ni 2000,,samaki na dagaa bei ipo juu,ndizi kumi 1000!!!kodi ya nyumba ndio hizo kidogo kuna afadhari tena kwa wale wanao panga nyumba nzima!!huo una fuu wa maisha upo wapi kulinganisha na mzunguko wa pesa uliopo hapo?!!sema mkoa mwingine lakini bukoba hapana!!!!kwanza muingiliano wa watu ni mdogo sana kutokana na jiografia yake!!!hiyo vanilla kuilima unadhania ni kazi rahisi?mkuu tena biashara hiyo ya nguo watu wengi siku hizi wanafuata katoro kwanini?kama hujui siri hiyo fanya uchunguzi

Sawa mkuu, Bukoba nyama kilo ni 5,000/= niambie mji unaponunua nyama sh 3,000/=

Bukoba maharage ni sh 1,800 kwa kilo niambie mji unaponunua maharage sh 1,000/=

Bukoba mchele ni 1,600 niambie wewe mji unaponunua kwa sh 1,000/= kama sio mashambani kwenyewe.
Ujue pia kwa Bukoba ndizi ni za bei ya kuokota ukilinganisha na miji mingine.

Bukoba boda boda hata kwa mia tano anakupeleka unapotaka kwenda!


Na kwa taarifa yako tu mkuu mimi sijaona mji ambao samaki wanauzwa bei ya kutupwa. Samaki wa 2,000 hapa Bukoba kwa Kigoma ni samaki wa 10,000/= na kwa Dar ni samaki wa 8,000-10,000/=

Kuhusu vyumba vya kupanga ndo sawa na kuokota. Kwa wenzangu tuliozoea vyumba vya Dar ukija Bukoba unacheka tu. Maana vyumba huku vinaanzia 15,000 na kuendela. Na chumba cha 30,000/= ni kikubwa sana na cha standard nzuri sana.


Unasema "hiyo vanilla unadhani kulima ni kazi rahisi" hii inanionesha kumbe wewe hauangalii fursa unataka vya bwelele. Unataka kazi rahisi ndo utoboe eeh!? Hii ndo aina ya vijana tulio nao!

Hata kama nguo zinanunuliwa Katoro hakuna shida. Hata zingenunuliwa Mwanza hakuna shida. Cha msingi ni zikishaletwa soko lipo??

Alafu sijasema Bukoba kuna mzunguko mkubwa sana wa biashara, ninachosema unaweza kuwa eneo lenye mzunguko mkubwa wa biashara na matumizi yakawa makubwa ukaishia kupata faida na kula tu. kwa Bukoba hela sio rahisi sana kupatikana ila ukichungulia fursa ukazitumia uwezekano wa kutoka ni mkubwa sana kwa kuwa matumizi yake yapo chini sana.

Tatizo tunapenda kufanya yale yale ambayo wenzetu wanayafanya katika maeneo mengine na sisi tuyafanye popote tunapotaka kutafuta riziki. Huwezi kuona mwenzio anapiga biashara ya mtumba inamtoa Dar na wewe ukataka kufanya biashara hiyo Lindi bila kuanza kuanhalia kwa Lindi ni biashara gani inaenda zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli mkuu
Kufanya biashara unatakiwa uwe na element zifuatazo.
SMART
S-Specific
M-Measurable
A-Attainable
R-Realistic
T-Time bond.
Hivyo lazima uisome jamii yako (Mila na destur zao) itakayoizunguka/hudumiwa na wewe ili ufanikiwe shughuli yako.
Mfano: Unaanzisha Mgahawa halafu unauza nyama ya Nguruwe kwenye jamii Kubwa yenye Iman ya Uislam.
Utatobowa kweli hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kuwa SMART ni muhimu lakini maelezo yako hapo chini naona yameegamia kwenye SWOC analysis.
 
Nakubishia kwenye muingiliano wa watu.hakuna mkoa wenye muingiliano mkubwa wa watu tz kama Kagera.mkoa huu ndo unaongoza Kwa wahamiaji Kwa sababu ya giografia yake ndo maana ukimwi ulipitia huko na tishio la ebola wanaanzaga na Kagera Kwanza maana kwa muingiliano wa watu kutoka mataifa mbalimbali ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanielewa nazungumzia muingiliano wa watu kutokana na shughuri za kiuchumi, kama ilivyo mikoa mingine ya mipakani!! Sasa unapakana na burundi, Rwanda, kule kuna nini? Kidogo hiyo mtukula nayo ni ya miaka ile. Nenda mipaka inayopakana na kenya, au tunduma ndio utanielewa ninachozungumzia hapa na sio wahamiaji!!!
 
Maisha ni popote.. Changamoto za kwenye hiyo mikoa ndio fursa zenyewe...

Umeitaja Simiyu? Unaijua Simiyu lakini? Umeshawahi fika pale makao makuu ya mkoa, Bariadi?
Waambie bhana mie niko ruvuma hali ngumu kweli ila sio malambo bariadi maana fursa ni nyingi sana kuuza maji tu kwa siku unapata hela kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo alikuja Arusha kufanyiwa usaili ktk shirika nililokuwa nafanya kazi, akaulizwa uko tayari ikiwa tutakupeleka mkoa wowote? Akasema, "niko tayari ila isiwe Arusha tu, Arusha maisha magumu!" Tatizo ni jinsi tunavyosikia na kuchakata taarifa tunazopewa. Hata mimi ilikuwa vigumu kukubali kuhamia Arusha, kama nisingetiwa moyo nisingekubali. Nilipokwenda Arusha ndipo nilipoanzia kufanikiwa, nilikaa Mwanza na Dodoma na sikupata mafanikio yoyote ya kiuchumi zaidi ya chakula, nilipokwenda Arusha mambo yakanyooka.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya arusha wakora wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@kapeace hivi kweli dada kijana wa kawaida alikuwa anafanya biashara ya kahawa Kagera??

Au unazungumzia maisha ya wanakijiji wakulima kuwa magumu baada ya kahawa kushuka bei??

Kwanza kahawa haipo kwenye mawazo ya vijana. Hivi unaweza kutoka Dar useme unaenda Kagera kufanya biashara ya kahawa?? Tunazungumzia sehem yenye fursa za mtu mtafutaji kutoboa kimaisha. Nindenga wampelewa kitonsa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wengi vijijini kabla ya ujio wa pikipiki walijishughulisha na kahawa......kulima kulangua nk

Kagera kugumu acheni sifa zisizo na mantiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wengi vijijini kabla ya ujio wa pikipiki walijishughulisha na kahawa......kulima kulangua nk

Kagera kugumu acheni sifa zisizo na mantiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hukuelewa mada ya mtoa post. Hata mimi kwa wakazi napaona ni pagumu kama wewe.

Ninachozungumzia ni fursa na uwezo wa kutoboa mtu ukiamua kwenda kufanya maisha!

Hivi kapeace kweli unaweza kutoka huko ulipo au mwenzako akaja Bukoba kufanya biashara ya kahawa??

Anyways kama wewe unaichukulia kama sifa sawa. Lakini sisi wengine tulitoka Dar na tukaacha kazi zetu na elimu zetu tukaja Bukoba kuchangamkia fursa baada ya kufanya research vizuri na tunaona mambo yanaenda. Hakuna maana ya kuandika hapa kuwafurahisha watu kisa sifa wakati unakufa kwa njaa. Trust me Bukoba ni palaini mno ukifanya research ukagundua nini hasa cha kufanya.

Siku ukija Bukoba niPm tuonane nikupe live experience

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom