Ukienda mikoa hii kwa nenda kufanya kilichokupeleka, hawapendi watu wanaopenyeza mambo ya uchawa kupitiliza, Case study ni Zuchu

Ukienda mikoa hii kwa nenda kufanya kilichokupeleka, hawapendi watu wanaopenyeza mambo ya uchawa kupitiliza, Case study ni Zuchu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Nadhani wote mmesikia kilichomtokea Zuchu huko Mbeya, Sio kosa lake, Hakujua kwamba yupo eneo tofauti kabisa, Alikuwa akipigia sana debe viongozi bila kujua kufanya hivyo ni kuamsha hisia kali wasizozipenda wanambeya wasiopenda mambo ya kutukuza sana viongozi (Uchawa)

Na kama unaingiza mambo ya uchawa basi jua kubalance, usizidishe.

1. Kilimanjaro - Pamoja na mazingira magumu ya kuwa upande wa upinzani, Vyam vilivyoweza kuleta upinzani mkubwa nchini huwa vina viongozi wa mkoa huo kuanzia TLP, NCCR, CHADEMA, n.k. ni watu ambao wamefikia levels za juu zaidi kwenye mambo ya upinzani.

2. Mbeya - Huku watu wanapenda sana haki ndio maana hii Nchi unapozungumzia watetezi wengi wanatokea huko, Kina Nay wa Mitego kakulia Mbeya kabla ya kwenda DSM, Mwabukusi, Mawakili wa vyama pinzani, Kesi ya Bandari ilipiganiwa Mbeya, n.k. Jamhuri ya Twitter wapo kina Sativa, Mdude, Boni Yai, n.k.

3. Mara - Nje ya kuwa maarufu kwa kumtoa Nyerere kiongozi alielitanguliza taifa bila kujipendelea mkoa wake pamoja na kuacha alama ya mkoa uliojitolea zaidi kwenda kuipigania nchi Kagera, Ni watu wenye misimamo yao hawapendi mambo ya uchawa uliopitiliza., Jamhuri ya Twitter wapo kina Martin Masese.

PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
 
Na kama unaingiza mambo ya uchawa basi jua kubalance, usizidishe

1. Kilimanjaro - Kila chama maarufu pinzani huwa kina viongozi wa mkoa huo kuanzia TLP, NCCR, CHADEMA, n.k. ni watu wambao wamefikia levels za juu zaidi kwenye mambo ya upinzani...
Uko sahihi kabisa Arusha,Manyala,Mbeya umemsahau Sativa!
 
Wafuasi wa chadema wanaharibu Sana majiji, tunashukru Arusha wameacha ule ujinga wa kichadema chadema baada ya kugundua kuwa chadema ni matapeli ya kisiasa.
 
Mtu anaweza asiwe beautiful kama wewe na bado akajaaliwa tabasamu murua kabisa mkuu
IMG_6080.jpeg
IMG_6081.jpeg
 
Nadhani wote mmesikia kilichomtokea Zuchu huko Mbeya, Sio kosa lake, Hakujua kwamba yupo eneo tofauti kabisa, Alikuwa akipigia sana debe viongozi bila kujua kufanya hivyo ni kuamsha hisia kali wasizozipenda wanambeya wasiopenda mambo ya kutukuza sana viongozi (Uchawa)

Na kama unaingiza mambo ya uchawa basi jua kubalance, usizidishe.

1. Kilimanjaro - Pamoja na mazingira magumu ya kuwa upande wa upinzani, Vyam vilivyoweza kuleta upinzani mkubwa nchini huwa vina viongozi wa mkoa huo kuanzia TLP, NCCR, CHADEMA, n.k. ni watu ambao wamefikia levels za juu zaidi kwenye mambo ya upinzani.

2. Mbeya - Huku watu wanapenda sana haki ndio maana hii Nchi unapozungumzia watetezi wengi wanatokea huko, Kina Nay wa Mitego kakulia huku, Mwabukusi, Mawakili wa vyama pinzani, n.k. Kwa mwaka huu pekee kuna kijana kakamatwa huko kwa kosa la kuchoma picha, kuna mchungaji kafungwa kwa kumkosoa Rais, n.k. Unavyopanda stejini fanya kilichokuleta maana mzunguko wa pesa ni mdogo viingilio vinatafutwa kwa taabu.

3. Mara - Nje ya kuwa maarufu kwa kumtoa Nyerere kiongozi alielitanguliza taifa bila kujipendelea mkoa wake pamoja na kuacha alama ya mkoa uliojitolea zaidi kwenda kuipigania nchi Kagera, Ni watu wenye misimamo yao hawapendi mambo ya uchawa uliopitiliza.
Acha uongo nay wa mitego katolea kilimanjaro mamake ndio mtu wa mbeya. Toka lini mbeya kukawa na majina ya emannuel elibarick
 
Back
Top Bottom