Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sio mtanzania Mimi usinilishe maneno kuniita mtanzaniaNyumbu tuko pamoja mkuu,ukiwa Mtanzania halisi Tena wa Chama tawala!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mtanzania Mimi usinilishe maneno kuniita mtanzaniaNyumbu tuko pamoja mkuu,ukiwa Mtanzania halisi Tena wa Chama tawala!
Hapo kwenye innocent hebu toa, au innocent lina maana nyingine madamNilimtafuta sana huyu dada,hata nimuone tu ila Leo siyo kumuona tu bali Hadi kushikanana mikono....she has good smile... very innocent 😌
Mtanzania wewe Tena wa kishimundu uliyechangamka na umachinga!Sio mtanzania Mimi usinilishe maneno kuniita mtanzania
Wewe ni mama yangu?Mtanzania wewe Tena wa kishimundu uliyechangamka na umachinga!
Angalia isije ikawa spika yako ndio umeiweka hatariniLeo nimemsalimia Tulia, alikuwa sokoni uyole hapa kutusabahi...yaan tangu muda ule tumeshikana mikono najihisi tayari Nimekuwa spika wa bunge la Tz.....🤒
Mimi ni baba Yako!Wewe ni mama yangu?
Mimi ni baba Yako,mama Yako ni mke wangu,sawa mwangu Kaa kwa kutuliaWewe ni mama yangu?
Huna marinda weweMimi ni baba Yako!
Yule ni muhuni aliyezeekahata raisi mstafu mzee kikwete ni mtu poa na anaelimu kubwa sana akikushauri jambo