Sure! Hata ukiondoka hakuna lawamaTutafute hela I see hata mtu ukiondoka dunia uwe na cha kusimulia huko uendako kwamba nilifurahia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakwepa yenyewe. Ina sensor ya ku detect gari ikiisogelea.
Anafurahisha genge uyohiyo kitunda ulifikaje bila kupitia mbagala au kilwa road? hiyo Raman haioneshi majina? ulikuwa mgeni mjini? SIZAN hata kama kuna kupotea huwezi potea kizembe hivo
Ziko wapi spec sasaImepitwa na mda hiyo za 2019 zipo barabarani na zimetoka mwezi uliopita
Naomba uniwekee specs zake pia maana nimeendesha range aina zote sijaona kama hiyo yako labda ni special edition hiyo
Hii chini niliendesha ilikuwa ni Autobiography ya 2017 ambayo ina mazagazaga kibao na ni top of the range ila haijafikia ya kwako mzee View attachment 1062735
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee nae unaacha kuangalia vitu vya msingi unakazana na consonati na herufiajari = ajali
ukikalibia = ukikaribia
spear = spare
hitirafu = hitilafu
fikili = fikiri
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
hahah
Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
kazi IPO TCRANdo maana madereva wa uber wanagombana na wateja kisa location
Kijambo kipo palepale labda ushushe vioo.Inapoza kijambo
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
- na sifa zinginezo kibao!.
Push to start!!
View attachment 1062571
View attachment 1062694
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
πππ Hujanielewa kabisa, Mbwinde ni kijiji ambacho nimekitolea mfano waTanzania wengi asili yetu ni vijijini sasa ikatokea unaenda kwenu nyashichoke likazima njiani na kama mleta mada alivyosema linaweza kujiendesha kwa umeme sasa je GPS itawezaje ku_trace location ya kituo cha mafuta kilipo wakati 2G yenyewe hakuna?Mtu mwenye range atakwenda Mbwite na Zutu kufanya nini?
Atazitaja yeye subiri au Google tu
Hahahaaa.....[emoji23][emoji23]Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]Pia ukimpakiza mke wa mtu wakati wa kushuka milango haifunguki mpaka mme wake aje kumfungulia.
Kama unaenda sehemu za town zinazojulikana haina shida inakupeleka vizuri kabisa, tatizo ukienda ndani ndani huko nje ya mjiHahahaaa.....[emoji23][emoji23]
Google map nimeshawahi kutumia mara tatu tu na ilinisaidia kwa kweli...Mara ya kwanza na ya pili ni hapa Arusha na ikanifikisha sehemu niliyotaka bila magumashi...umbali wa kama km 16 hivi...mara ya tatu Dar kutoka mwenge Kuelekea mtaa flani ambao sikuwa kufika...kwa kweli ilinitendea haki..
Sent using Jamii Forums mobile app
I fourth you!I third you!!!
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk