Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo maana madereva wa uber wanagombana na wateja kisa location
 
Bujibuji class
  • Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
  • inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
  • ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
  • ukisinzia nayo inazima!
  • usipofunga mkanda haiondoki
  • ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
  • kamera kama zote
  • ukichoka inakuamsha kwa alarm
  • mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
  • fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
  • kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
  • Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
  • ukikalia siti inaonesha uzito wako
  • kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
  • ukipotea inayo GPS
  • ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
  • ina gia za auto na za manual
  • Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
  • na sifa zinginezo kibao!.
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018
Push to start!!
View attachment 1062571
View attachment 1062694
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
 
Mtu mwenye range atakwenda Mbwite na Zutu kufanya nini?
😝😝😝 Hujanielewa kabisa, Mbwinde ni kijiji ambacho nimekitolea mfano waTanzania wengi asili yetu ni vijijini sasa ikatokea unaenda kwenu nyashichoke likazima njiani na kama mleta mada alivyosema linaweza kujiendesha kwa umeme sasa je GPS itawezaje ku_trace location ya kituo cha mafuta kilipo wakati 2G yenyewe hakuna?
 
Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa.....[emoji23][emoji23]
Google map nimeshawahi kutumia mara tatu tu na ilinisaidia kwa kweli...Mara ya kwanza na ya pili ni hapa Arusha na ikanifikisha sehemu niliyotaka bila magumashi...umbali wa kama km 16 hivi...mara ya tatu Dar kutoka mwenge Kuelekea mtaa flani ambao sikuwa kufika...kwa kweli ilinitendea haki..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa.....[emoji23][emoji23]
Google map nimeshawahi kutumia mara tatu tu na ilinisaidia kwa kweli...Mara ya kwanza na ya pili ni hapa Arusha na ikanifikisha sehemu niliyotaka bila magumashi...umbali wa kama km 16 hivi...mara ya tatu Dar kutoka mwenge Kuelekea mtaa flani ambao sikuwa kufika...kwa kweli ilinitendea haki..


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaenda sehemu za town zinazojulikana haina shida inakupeleka vizuri kabisa, tatizo ukienda ndani ndani huko nje ya mji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom