Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

Sahv kwa utumishi kukupa nafasi ya kuuliza sizani ,Maana Kama mpo wengi kuulizwa wanataka wamalize zoezi chap chap ,,,wakimaliza wanatumia lugha ya kukupa Matumain ili usiondoke Upo discouraged,,mfn

"" Thank u Mr.@wizy a.k.a Mr.jobless for ur time ,we hope to see u in our team, u may take ur certificate,we wish all the best""

Ila wakandaji ndo wanajua ukweli unapita au haupiti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanatoa sana nafasi ya kuulizwa swali au hata maoni.. Nakumbuka tulikuwa kiasi Ila walikuwa wanatoa hyo chance,, Sema wakandwaji wengi hawanaga mda wa maswali au maoni wanaona ninkujichoresha, as long as amemaliza saili anachotaka ni kuchapa laba,,
 
Sahv kwa utumishi kukupa nafasi ya kuuliza sizani ,Maana Kama mpo wengi kuulizwa wanataka wamalize zoezi chap chap ,,,wakimaliza wanatumia lugha ya kukupa Matumain ili usiondoke Upo discouraged,,mfn

"" Thank u Mr.@wizy a.k.a Mr.jobless for ur time ,we hope to see u in our team, u may take ur certificate,we wish all the best""

Ila wakandaji ndo wanajua ukweli unapita au haupiti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A k a[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakikuambia jitahidi uwe unapitia account Yako mara Kwa mara Ina maana Gani jamani.
Kunakuwa na mabadiliko ya status pia kwaajili yakupata taarifa mbali mbali na zaidi upitie kwenye website yao kusubili pdf
 
Kumbe kuna kuwaga na comments,,na usipopewa comment inakuaje?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au comments zinatolewa kutokukuvunja moyo,,ila wao wanajua tumekukanda[emoji23][emoji23]
Hahaha! Nakumbuka mimi nilifanya oral interview ya CDO's mwishoni kabisa kabisa nikaambiwa "you had a lot of issues but you have tried to condense them, thank you very much"
Sikuelewa kama nilifanya vizuri au laa!
 
Kuna comment zinakuaga mwishoni hizo zinakuonesha tu ulichofanya
Ukiona wanaanza kukushauri ujue baba jeni bye bye na mwendo umeumaliza hahhh
Hahaahahahah Mambo vp wadau nimeona niwaambie na mm nachokifahamu tulienda kwenye oral exam Ddm kuna jamaa yangu tulipotoka akaniambia mwanangu nlipomaliza wameniambia excellent good mnoo , mwee hadi leo tupo nae mtaani tunasubiria hatujaitwa na walikua wanataka watu 360 na waliitwa idadi ikatimia na wakaendelea kuita majina ya nyongeza wa kwenye data base ila bado ngoma nzito kwahyo swala la maneno sijui wanayokuambia sio la kweli wakuu wangu
 
Hahaahahahah Mambo vp wadau nimeona niwaambie na mm nachokifahamu tulienda kwenye oral exam Ddm kuna jamaa yangu tulipotoka akaniambia mwanangu nlipomaliza wameniambia excellent good mnoo , mwee hadi leo tupo nae mtaani tunasubiria hatujaitwa na walikua wanataka watu 360 na waliitwa idadi ikatimia na wakaendelea kuita majina ya nyongeza wa kwenye data base ila bado ngoma nzito kwahyo swala la maneno sijui wanayokuambia sio la kweli wakuu wangu
Mzee aliambiwa yeye unauhakika aliambiwa???Mimi nimekisema kutokana na experience yangu hizo comments zipo na Kuna zingine unajua kabisa hapa sitoboi
 
Wakikuambia jitahidi uwe unapitia account Yako mara Kwa mara Ina maana Gani jamani.
Mmh! The same to me, niliambiwa na mwenyekit wa panel Tena Kwa kurudia rudia Kwa msisitizo nijitahidi kutembelea website yao. Hadi akawa ananielekeza namna ya kuingia dah...basi tu
 
Mmh! The same to me, niliambiwa na mwenyekit wa panel Tena Kwa kurudia rudia Kwa msisitizo nijitahidi kutembelea website yao. Hadi akawa ananielekeza namna ya kuingia dah...basi tu
Hahaha vipi taesa hawajakupa internship mkuu Mimi nilifail interview yao
 
Back
Top Bottom