Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Wee sio masikio ni kwelii buanaaa!! Kama hapa kuna mtu memmisi ila katingwaaaa🤣🤣🤣🤣!! 🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🤸🤸😜😜!!
Huyo mwamba uliyemmisi ana bahati sana, ingekuwa mimi ningeacha kila kitu changu ili nikupe mda nipate utam hakyanani 🤣🤣
 
Huyo mwamba uliyemmisi ana bahati sana, ingekuwa mimi ningeacha kila kitu changu ili nikupe mda nipate utam hakyanani 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nataniaa mkuuu hahahaha!!!
 
dont take jf seriously, sie wengne jf ni sehemu ya burudan kwa hyo ukichukulia vitu serious utapasuka ubongo
Exactly mkuu yani umu kila mtu ana kaz nzuri gar na nyumba yani life humu ni mnyooko tu... yani hii ndio jf ninayoifahamu kila m2 ana bachelor utafikir sio hao wanaojazana kwenye interview daily
 
Exactly mkuu yani umu kila mtu ana kaz nzuri gar na nyumba yani life humu ni mnyooko tu... yani hii ndio jf ninayoifahamu kila m2 ana bachelor utafikir sio hao wanaojazana kwenye interview daily
nmeandka namilik frem 2 kariakoo watu wakachukulia serious ahahahaha wakat huo nko zangu geto hapa nabeti
 
Hizi mambo za kuambiwa subiri ufike age fulan siziamini kbs kila mtu na experience yake, nakumbuka enzi hizo niko high-school watu wakawa wanasema papuchi chuo zipo za kumwaga hata buku mbili

Nilivyofika chuo sasa [emoji23]... slay queens zinataka lunch KFC au Subway... nikamaliza chuo sikuona hizo papuchi za buku mbili zaid ya wahaya
[emoji23][emoji23]
 
Mkuu, hivi ulifanikisha kupata kazi kweli na maisha yako yalivyokuwa magumu kiasi kile? [emoji848][emoji23][emoji23] Naona content ya uzi ule imefutwa, umeacha dot!

Miaka miwili ushapata pesa ya kujenga majumba, kupangisha frem kariakoo, kusafiri Dubai[emoji23]

Ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu
Jorge WIP Mwizukulu mgikuru
Daah unafukua makaburi kinoma
 
Hizi pisi ukifika 30 unaweza kuzipata kwa urahisi sana, ni kama vile hata hutongozi maana una uzoefu mkubwa tayari wa maisha kiujumla hata wanawake unakuwa na uwezo mkubwa kuwamudu, ukimhitaji mwanamke hupindishi pindishi unanyooka straight na kwa bahati nzuri ni kama muujiza waanawake wana kaheshima flani kwa wanaume wenye sifa za utu uzima, tofauti tu ni kwamba hii nguvu utayokuwa nayo hutaitumia kupita kiasi kwenye kuzinyaka pisi, hali yako itakuwa kama mtu ambae anapenda nyama choma lakini hana uwezo wa kulipia, siku akiweza kuinunua ama kupewa ofa ataishughulikia haswa na hata kuharibu ratiba zake, atatafuna mpaka mifupa kukomoa 🙂 🙂 lakini ni mtu huyu huyu akienda sehemu ambayo kuna nyama za kutosha basi atazila kistarabau kwa ratiba yake, wala hana pupa wala mambo a kukomoa.

ukifika 30 pisi unaweza kuzipata kirahisi Ila akili inawaza mambo mengine ya kimkakati zaidi.... akili inawaza zaidi mikakati ya kufikia ndoto zako kimaisha, unawaza zaidi malengo na misimamo, akili inaweza maendeleo......

hata ikitokea umeipata pisi kali sana wala haikuharibii ratiba kusema kwamba utaikamia sana, ukipiga mshindo wako moja au miwili kazi imeisha, iweje starehe iwe kama mazoezi ya jkt tena kwa mtu unaemhonga ?? 🙂 🙂

ni umri huu ambao hata pisi kali unaweza kuwa na mahusiano nayo ya urafiki bila kuwaza vingine, hiki ni kitu kigumu sana kwa vijana maji ya moto walio chini ya 30 wengi lazima wawe na lengo kuu la kuitafuna pisi ule urafiki ni kuzuga tu..... na ndio maana hata wanawake wanapenda urafiki na wanaume watu wazima.


Kunakua kuna tabia zinaanza kupotea, mambo ya kujisifu una madem wengi yanabaki kivyako private, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe nako unaanza kuweka iwe siri yako tu, kuhonga nako unaanza kuchukulia kama kuhudumia na sio malipo kweajili ya kupewa tundu, n.k

Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone
Kweli kabisa
 
MToa mada unalosema ni sahihi kbsa hasa ukishakuw na mambo haya matatu

Pesa ya kiasi +
Familia yako na nyumba yako
Usafiri wako (Gari)

Aseee ni wengi kinyama na unakosa ata muda wa kulala nao wote wengine wanakuw pending tuu hata 6month
True kabisa,yaani unashangaa kwann hizi opportunity hazikuwepo enzi zileza 20's
 
Back
Top Bottom