Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Wee sio masikio ni kwelii buanaaa!! Kama hapa kuna mtu memmisi ila katingwaaaa🤣🤣🤣🤣!! 🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🤸🤸😜😜!!
Huyo mwamba uliyemmisi ana bahati sana, ingekuwa mimi ningeacha kila kitu changu ili nikupe mda nipate utam hakyanani 🤣🤣
 
Huyo mwamba uliyemmisi ana bahati sana, ingekuwa mimi ningeacha kila kitu changu ili nikupe mda nipate utam hakyanani 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nataniaa mkuuu hahahaha!!!
 
dont take jf seriously, sie wengne jf ni sehemu ya burudan kwa hyo ukichukulia vitu serious utapasuka ubongo
Exactly mkuu yani umu kila mtu ana kaz nzuri gar na nyumba yani life humu ni mnyooko tu... yani hii ndio jf ninayoifahamu kila m2 ana bachelor utafikir sio hao wanaojazana kwenye interview daily
 
Exactly mkuu yani umu kila mtu ana kaz nzuri gar na nyumba yani life humu ni mnyooko tu... yani hii ndio jf ninayoifahamu kila m2 ana bachelor utafikir sio hao wanaojazana kwenye interview daily
nmeandka namilik frem 2 kariakoo watu wakachukulia serious ahahahaha wakat huo nko zangu geto hapa nabeti
 
[emoji23][emoji23]
 
Daah unafukua makaburi kinoma
 
Kweli kabisa
 
MToa mada unalosema ni sahihi kbsa hasa ukishakuw na mambo haya matatu

Pesa ya kiasi +
Familia yako na nyumba yako
Usafiri wako (Gari)

Aseee ni wengi kinyama na unakosa ata muda wa kulala nao wote wengine wanakuw pending tuu hata 6month
True kabisa,yaani unashangaa kwann hizi opportunity hazikuwepo enzi zileza 20's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…