Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

WaTz wengi wetu ni raia wema kabisa kabisa tunatusua kabisaa.
 
Pole sana mkuu
 
Nkikumbuka aya mambo Stakishari pale ,,dah 2019 iyo novemba ,,wazee wa vipasta,,,dahh ..ila jela kwel ni advanced ..naomba Mungu
 
Huu uzi ni kwa ajiri ya wapambanaji na sio wapambaniwaji

Wapambanaji wako naexperience ya mamb meng sana kuliko wapambaniwaji.


Ova.
 
Khe! Makubwa haya. Yaani uache kuitwa TRA huko kuwa labda umekwepa kodi ndio uitwe polisi kufanya nini sasa?
 
Uanaumee kazi, bora wengine wanaleft, wamechoka hizo heka heka, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akina MOND au sio ila nao ni ujasir imagine mjulusi unaingia na kutoka dah

#Mashoga wauwawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…